Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
- Thread starter
-
- #321
Basi huenda sio tatizo lake pekee!!Ndiyo....
daaah!ndo kama hiyo ya tatu kutoka chini mkuu!!!inauma sanaMkuu pole, inaonekana hata wewe utakuwa na njaa.
Chukua hizi hapa upunguze machungu, usilielie...
dada kuwa na huruma basi!buku tano unaona ndogo?ndogo hiyoo?we hujui hapo ni asubuhi,mchana na jioni na fegi juu?au nije kwako??ameiba au amechukua? mwanaume mzima unakuja kulalamika humu eti umeibiwa buku 5! majanga! chumba atafute yeye, kodi alipe mwenyewe, kitanda anunue mwenyewe godoro na mashuka kanunua mwenyewe wewe unapeleka map.........bu yako tu na ka elfu 5 mfukoni! ila sikulaumu sana inawezekana wewe si mwanaume ila ni mtoto wa kiume. elfu tano unaanzisha uzi hapa! nimesikitika sana ungekuwa karibu ningekuzaba kofi
Kumbe ulilala ( kwake ) ?tena ulitakiwa ummpe kama 15 zingine ifike 20 ya chumba cha guest
Ambayo ume kwepa 30 zingine ya kumtumia usiku kucha. Yani kugegeda the whole nyt.
Pole sana,mwenzako mmoja aliibiwa kiroba cha mkaa.
Kutoa mazoea, moyo kila mtu anao
aibe tu hamna jinsi tena,uibiwe tu nawe umezidi.
yani unaenda kwake na buku tano?
afu hiyo ni ya kuanzia mishe zako asubuhi unachekesha
kuna haja ya kuwapokea na mabusu mlangoni mikono ndani ya mifuko yenu kuwapiga sachi haki a mama
una roho mbaya kama nini we mwanamke!
figo au moyo?sasa umeibiwa buku tuu unalalamika, Je ukiibiwa Figo au Moyo utasemaje?