Demu wangu kaniibia buku 5

Demu wangu kaniibia buku 5

Mkuu pole, inaonekana hata wewe utakuwa na njaa.

Chukua hizi hapa upunguze machungu, usilielie...


tanzania-2011-500.jpg

TZ44.JPG
TZ41.JPG
TZ43.JPG
TZ42.JPG
daaah!ndo kama hiyo ya tatu kutoka chini mkuu!!!inauma sana
 
ameiba au amechukua? mwanaume mzima unakuja kulalamika humu eti umeibiwa buku 5! majanga! chumba atafute yeye, kodi alipe mwenyewe, kitanda anunue mwenyewe godoro na mashuka kanunua mwenyewe wewe unapeleka map.........bu yako tu na ka elfu 5 mfukoni! ila sikulaumu sana inawezekana wewe si mwanaume ila ni mtoto wa kiume. elfu tano unaanzisha uzi hapa! nimesikitika sana ungekuwa karibu ningekuzaba kofi
dada kuwa na huruma basi!buku tano unaona ndogo?ndogo hiyoo?we hujui hapo ni asubuhi,mchana na jioni na fegi juu?au nije kwako??
 
Pole sana,mwenzako mmoja aliibiwa kiroba cha mkaa.
 
Acha ubahili, jenga tabia ya kutoa km ambavyo umekuwa ukipokea papuchii ya dem wako Nelson nely
 
Last edited by a moderator:
yani unaenda kwake na buku tano?
afu hiyo ni ya kuanzia mishe zako asubuhi unachekesha
kuna haja ya kuwapokea na mabusu mlangoni mikono ndani ya mifuko yenu kuwapiga sachi haki a mama

una roho mbaya kama nini we mwanamke!
 
Back
Top Bottom