hahahahaha jirani wanaume wenzio unawapa kiroho safiiiii ila sisi unatuita wachunaji
aiseeee
hapana mkuu kwa alichofanya ilhali anajua kazi zangu imeniuma,simwambii kitu kabisakwanini mkuu? kwani ulilamba chumvi chumvi?
Loh kweli amekosa mme kweli elfu tano tu jamani
yani unaenda kwake na buku tano?
afu hiyo ni ya kuanzia mishe zako asubuhi unachekesha
kuna haja ya kuwapokea na mabusu mlangoni mikono ndani ya mifuko yenu kuwapiga sachi haki a mama
we nawe unatia aibu...unaibiwa buku tano unalia?? lol !! km umhongi unategemea ale nini, avae nini, msichana anahitaji urembo anunue na nini?
Usijitie aibu
Hiyo buku 5 ni hela ya pango uliyokwepa kwenda gest,ulifikiri umelala bure? Hakuna vya bure hapa duniani.
tumefanyeje?kwahiyo humu ndo yumo demu wako? Wavulana bwana
asante mkuu,ila kumbuka siwez mpeleka gesti maana nimemlipia chumba na kila kitu,nimeamua kumuachia vyoteMkuu elfu 5 tu fikiria ungefika gesti house 20 zingekutoka. Hapo msosi bado10000 bado asbhi chai 5000. Papucha bei iko juu Dom 20000 sasa hapo vitu vyote hivo umepata bure.acha usen gerema
Hawa ni wadogo zetu...
Nimemuongezea akaibiwe na hizo tena.
mkuu asante kwa kunielewaIngawa two wrongs does not make a right (na yeye amekosea kuja kuanzisha uzi hapa) ila kama kweli amechukua bila kuomba au kutoa taarifa huo ni wizi (na wizi ni tabia haijalishi kiwango) inabidi ukiwa na shida unasema nimechukua pesa fulani sababu yule aliyechukuliwa anaweza kudhani kaibiwa sehemu nyingine kumbe ni udokozi wa mtu mwingine
miss chaga,angeniomba basi hajui nilikuwa na hesabu nayo vipi!mbona hamna huruma wanawake?sio kila mwanaume ana helamwanaume analilia elfu tano kwa nini asiassume kwamaba kachukua kununulia kitu?
Kwema aseeh nimempenda mwanao
ntampataje anaefanana na huyo
mkuu km wale wa barabarani wala usilalamike ndo zaoasante mkuu,ila kumbuka siwez mpeleka gesti maana nimemlipia chumba na kila kitu,nimeamua kumuachia vyote
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.
miss chaga,angeniomba basi hajui nilikuwa na hesabu nayo vipi!mbona hamna huruma wanawake?sio kila mwanaume ana hela
huo ni ubaguzi
Mkuu pole, inaonekana hata wewe utakuwa na njaa.
Chukua hizi hapa upunguze machungu, usilielie...
Tatizo tumevamiwa na watoto wakiume, ukiangalia kwa makini unaweza sema kizazi cha wanaume kimekaribia kuisha, wengi waliopo ni watoto wa kiume. Maana kila siku wanalalamika visivyolalamikiwa jamani, inasikitisha au ndo kizazi cha bongo fleva au JK
miss chaga,angeniomba basi hajui nilikuwa na hesabu nayo vipi!mbona hamna huruma wanawake?sio kila mwanaume ana hela