Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Asubuhi ulipanga umuachie sh ngapi sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ndomana nikauliza au panya wameiba?tulikuwa wawili tu!Umeshasema kakuibia kumbe huna uhakika
hahahaaaaaaNa weeee umezidi hata nyumbani haujatimba ukaenda kwake...
matangokwani shule zimefungwa ?
kivipi mkuu?safi sana
nimekukubali!Huyo ni wa kumuibia tu, na hapo kapata lesson lazma next time afiche chini ya p*mbu
asante mkuuIssue ni kutoa taarifa sio kiwango wala sio pesa ni ya nani ? Unapochukua kitu bila kusema unaweza kusababisha lawama kwa watu wasio husika.., just imagine angekuwepo mtoto hapo au mfanyakazi wa ndani si angeweza kudhaniwa kwamba ndio mdokozi ?, au just imagine jamaa kaondoka asubuhi anapanda basi au anapata kifungua kinywa hotelini akidhani ana buku tano mfukoni kumbe kuna mtu ameshaidokoa ? Kuna ugumu gani kusema nipatie kiasi fulani cha pesa au ile pesa nimeichukua ?
nina uhakika na maisha yake mkuu maana me ndo kila kitu kwake!Asubuhi ulipanga umuachie sh ngapi sasa?
asante sana mkuuAchane kucomment kipuuzi nyinyi mnaojiita GTs, Mtu mwenye tabia za udokozi siyo wa kutetewa hata siku moja.
Yaani kila mtu hapo anamponda mleta mada kana kwamba elfu tano siyo hela. Hata kama unazo za kutosha haimaanishi zichukuliwe bila ridhaa yako. Kwani angeomba siangepewa tu?
Msichana mdokozi hafai hata kuwa mke. mwenye uzi nadhani ni muda sasa wa kutafakari vizuri kwa kuwa umeshaona nature ya mtu uliyenaye kwenye mahusiano. Hao wanakukejeli achana nao wengi humu wanafuata mkumbo tu, yaani watu wa mwanzo wakidiss basi wanaofata wote wanakuwa na mwelekeo uleule. Pia wengi wao wanaangalia fulani kacomment nini ili nao waunge mkono.
tinna,kumbuka anapoishi na kula nagharamia mimi!!Unalalamika nini hapo,,,,, umelala bure, papucci bure,, chakula bure na bado mishuzi umemtolea mtt wa watu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hiyo buku5 ni ndogo sana coz umemtia hasara huyo mpnz wako....
halafu unajiita kamanda??!hivi buku 5 ni ndogo?Usiku mzima umemkojolea halafu unalalamikia hiyo buku 5?!!! What a shame!
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.
ndo najiuliza!Udokozi ni tabia mbaya sana. Haijalishi kiwango, after all anajua uwezo wako kifedha. Kwa nini asiombe??
sikuwezi!!Umeonaeee, mwenzie kamwachia home work
Natamani kukuhoji ila basi tu ngoja niuchune....nimekukubali!