Demu wangu kaniibia buku 5

Demu wangu kaniibia buku 5

Achane kucomment kipuuzi nyinyi mnaojiita GTs, Mtu mwenye tabia za udokozi siyo wa kutetewa hata siku moja.
Yaani kila mtu hapo anamponda mleta mada kana kwamba elfu tano siyo hela. Hata kama unazo za kutosha haimaanishi zichukuliwe bila ridhaa yako. Kwani angeomba siangepewa tu?

Msichana mdokozi hafai hata kuwa mke. mwenye uzi nadhani ni muda sasa wa kutafakari vizuri kwa kuwa umeshaona nature ya mtu uliyenaye kwenye mahusiano. Hao wanakukejeli achana nao wengi humu wanafuata mkumbo tu, yaani watu wa mwanzo wakidiss basi wanaofata wote wanakuwa na mwelekeo uleule. Pia wengi wao wanaangalia fulani kacomment nini ili nao waunge mkono.
 
Unalalamika nini hapo,,,,, umelala bure, papucci bure,, chakula bure na bado mishuzi umemtolea mtt wa watu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hiyo buku5 ni ndogo sana coz umemtia hasara huyo mpnz wako....
 
Issue ni kutoa taarifa sio kiwango wala sio pesa ni ya nani ? Unapochukua kitu bila kusema unaweza kusababisha lawama kwa watu wasio husika.., just imagine angekuwepo mtoto hapo au mfanyakazi wa ndani si angeweza kudhaniwa kwamba ndio mdokozi ?, au just imagine jamaa kaondoka asubuhi anapanda basi au anapata kifungua kinywa hotelini akidhani ana buku tano mfukoni kumbe kuna mtu ameshaidokoa ? Kuna ugumu gani kusema nipatie kiasi fulani cha pesa au ile pesa nimeichukua ?
asante mkuu
 
Achane kucomment kipuuzi nyinyi mnaojiita GTs, Mtu mwenye tabia za udokozi siyo wa kutetewa hata siku moja.
Yaani kila mtu hapo anamponda mleta mada kana kwamba elfu tano siyo hela. Hata kama unazo za kutosha haimaanishi zichukuliwe bila ridhaa yako. Kwani angeomba siangepewa tu?

Msichana mdokozi hafai hata kuwa mke. mwenye uzi nadhani ni muda sasa wa kutafakari vizuri kwa kuwa umeshaona nature ya mtu uliyenaye kwenye mahusiano. Hao wanakukejeli achana nao wengi humu wanafuata mkumbo tu, yaani watu wa mwanzo wakidiss basi wanaofata wote wanakuwa na mwelekeo uleule. Pia wengi wao wanaangalia fulani kacomment nini ili nao waunge mkono.
asante sana mkuu
 
Unalalamika nini hapo,,,,, umelala bure, papucci bure,, chakula bure na bado mishuzi umemtolea mtt wa watu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hiyo buku5 ni ndogo sana coz umemtia hasara huyo mpnz wako....
tinna,kumbuka anapoishi na kula nagharamia mimi!!
 
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.

itakuwa chuma ulete
 
Udokozi ni tabia mbaya sana. Haijalishi kiwango, after all anajua uwezo wako kifedha. Kwa nini asiombe??
 
Back
Top Bottom