Demu wangu kaniibia buku 5

Demu wangu kaniibia buku 5

huu uzi nimeupenda hauchoshi hata kusoma jinsi mtoa mada anavyo lalamika na buku tano yako, ila unamdhalilisha mpenzi wako, aibe buku tano kweli, pengine umepoteza au umesahau ulipoweka halafu unamsingizia mpenzi wako eti kakuibia
mkuu niliporudishiwa chenji niliikunja kama mara 6 hivi nikaitumbukiza kwenye kamfuko kadogo ka jinsi(kale ka kuhifadhia mia mia)nilipoamka nilijisachi hadi kwenye soksi
 
Kiasi cha pesa sio hoja ... hoja ni tabia ya udokozi.. mwanamke mdokozi hafai hata kama ananinunula shati langu... anidanganye.... tongoze.... vyovyote vile ila niitoe mwenyewe full stop. Usione mmeo karudi yupo yungi ukadhani hajui alichonacho mfukoni.... weeeee utachenzea mbata asubuhi. Ama mnataka tutafute pochi zenye pass word? Wizi wa nguvu haufai tumia ulimi mamaa.
 
Ila katabia cha uongo piasikipendi wewe fanya uwezavyo kunishawishi nikupe... nakuapia mimi ni mbaili ila kuna kona nikibanwa nishawahi toa salio nililobakiwa nalo lote nashukuru gari ilikuwa na mafuta ya kunifikisha bank.
 
Kuna binti kila akija kwangu kuna kitu kinapungua. Na mwuuliza ancheka tu. Vitu vyenyewe mimi kidume kwenda kununua naona uvivu na wala sikumbuki. Sasa nimeona nimkaushie simkaribishi tena. Posha anapata na hasara aingize kha wizi ni nouma. Bado vsarafu vyangu ninavyo tupia kwenye kiglass anapita navyo!!? Inatosha sasa apite hivi
 
Mkuu usimuonee aibu... mwambie akupe mkwanja wako. Buku 5 iende hivi hivi, aisee!!! Hapana arifu...
 
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.

Weee kweli -------. 5000 au b5000 ndo walalamika?? Hivi wee kweli bado kinuka mkojo na nisiseme mengi maana ntakua narudi waliosema wengine. but nachokwambia SHIDA HUA NI KWENUUUUU KWA MWANAMKE STAREHE LAZIMA UGHARAMIE COZ UMEITAKA MWENYEWEEE
 
Mkuu usimuonee aibu... mwambie akupe mkwanja wako. Buku 5 iende hivi hivi, aisee!!! Hapana arifu...

Hahahaha....Nina wasiwasi na huyu chali,
Tujiulize kwanini Kamwibia?Huenda jamaa bahili sana,Hampi dada matumizi ya kutosha,
Na Anamtumia sana maana adai kila kitu anamgharamia,Mwogope sana mtu kama huyu.
Ni hatariii
 
mkuu,senti 2 ni kwako,kwangu ni kubwa

Basi Kama Ni Kubwa,Mwambie Akurejeshee,
Kama Humwambii yeye atatuaje kama kakosa?

Huenda anajua ni kawaida tu,ila punguza ubahili ndugu la sivyo mkeo atakupa tabu sana,
Fanya kazi kwa bidii
 
mkuu niliporudishiwa chenji niliikunja kama mara 6 hivi nikaitumbukiza kwenye kamfuko kadogo ka jinsi(kale ka kuhifadhia mia mia)nilipoamka nilijisachi hadi kwenye soksi

Sasa kama uliikunja mara sita inawezekana imo humo humo kwenye mfuko. Itafute vizuri.
 
kama maumivu yako ni matokeo ya kuvunjika kwa uaminifu nitakuelewa lakini si kwa upotevu wa kiasi hicho??
 
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza./QUOTE] ndo unatuletea nyuzi gani mkuu
 
Back
Top Bottom