Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu serious sisi ni wakulinganishwa na Mamaziii wa Kenya kweli hizi dharau kubwa.
Hudaa feki kila kitu hakuwa vile zamani.Muda wa kutuma posa kwa hudaaaa🙂🙂🙂🙂
Kwanza wewe mkenya wanawake wenu easy going kuliko WA TanzaniaEti ukute demu ya Kenya inapenda Pesa mpaka inakomba yote hafu havai wigi wala kula bata kwa hela aliochukua kwa men wake, demu ya Kenya INA invest halafu inakuambia ona hela uliyinipa waona nimefungua biashara lakini ya bongo ni viraza utasikia asante kwa kunipendezesha umefanyaningare halafu hapo hapo inaomba Pesa ya usafiri. Midemu ya bongo kueni serious inamaana men wako akiwa hana hela basi nawe huna, 😕😕😧
Amina wa Kiba ana kisirani sikujua hiliWadada wa kenya awana mvuton na ukikuta mwenye Mvuto basi ana roho mbaya na kajaa kisirani kama yule Amina wa Kiba.
Nilizunguka Kenya zima nimekutana na mrembo mmoja nae ni mchanganyiko Somalia na Kenya, Kuhusu Tanzania popote utakapo kanyaga Kuna warembo.hawachi..unataka kunihakikishia km kenya mitaani hamna warembo...hhhh....unaongelea kenya kenya ipi wewe...hemu nijuze...manake mi mwnywe mkenya ila sijatembea mikoa yote ya kenya...ila nashangaa mtu km wewe uliokomaa dar na kuona hao wazaramo basi kwako ni wazuri kwako...anyway beauty lies in the eyes of the beholder...
alafu hao wa mtaani unaonieleza ni wale wacheza singeli wa dar au wale wa kagera...bado sijakuelewa vizuri...
maskini...hv unanihakikishia kagera pia kuna warembo....hhhhhh....Nilizunguka Kenya zima nimekutana na mrembo mmoja nae ni mchanganyiko Somalia na Kenya, Kuhusu Tanzania popote utakapo kanyaga Kuna warembo.
mupirocin ...yani hapa na argue na jamaa aliyesimuliwa stori za vijiweni....alafu anataka kunihakikishia ujinga hapa
Nimekwambia popote utakapo kanyaga Tz Kuna Wazuri na warembomaskini...hv unanihakikishia kagera pia kuna warembo....hhhhhh....
Waambie waaaambie wakusikie wanaboa sana mi sikuhizi hata siwataki naona najibebea majukumu bila sababu bora niivest kwa wife wangu kwishaaaEti ukute demu ya Kenya inapenda Pesa mpaka inakomba yote hafu havai wigi wala kula bata kwa hela aliochukua kwa men wake, demu ya Kenya INA invest halafu inakuambia ona hela uliyinipa waona nimefungua biashara lakini ya bongo ni viraza utasikia asante kwa kunipendezesha umefanyaningare halafu hapo hapo inaomba Pesa ya usafiri. Midemu ya bongo kueni serious inamaana men wako akiwa hana hela basi nawe huna, [emoji53][emoji53][emoji47]
maskinini...naanza kushuku uwezo wako wa kufikiria....Nimekwambia popote utakapo kanyaga Tz Kuna Wazuri na warembo