Demu ya Kenya vs demu ya Tanzania

Demu ya Kenya vs demu ya Tanzania

Mbona ume paniki. Amber rutty ni nani ?wala siishi dar mbona? Kiwanja kilisajiliwa mda na kimeshajengwa apartments njo upangishe.

Alafu Kenya hakuna watoto wazur kubali tu .
Wanawake wa Tanzania niwazuri ila ni udangaji ndo umezidi ila urembo wanao.

Kenya ukienda club unaweza kaa had asubuhi usione ucheze na nani maana wanawake nikama huwaoni. Na staili yao ya kucheza ni moja kenya nzima . kuna ma style kanaitwa "kanyaga lami" yaani kila MTU anacheza ivyo. No swag kwakweli.

Ila kwa akili za utaftaji wanawake wakenya ni wataftaji kuliko wa Tanzania . ila kwa Mimi kigezo cha kwanza sura pesa tutatafta tu ila amani ya nafsi yakuwa na unachotaka iyo haitafutwi.

I have balance the story. I don't argue no more .

Have a nice day vampire.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona ume paniki. Amber rutty ni nani ?wala siishi dar mbona? Kiwanja kilisajiliwa mda na kimeshajengwa apartments njo upangishe.

Alafu Kenya hakuna watoto wazur kubali tu .
Wanawake wa Tanzania niwazuri ila ni udangaji ndo umezidi ila urembo wanao.

Kenya ukienda club unaweza kaa had asubuhi usione ucheze na nani maana wanawake nikama huwaoni. Na staili yao ya kucheza ni moja kenya nzima . kuna ma style kanaitwa "kanyaga lami" yaani kila MTU anacheza ivyo. No swag kwakweli.

Ila kwa akili za utaftaji wanawake wakenya ni wataftaji kuliko wa Tanzania . ila kwa Mimi kigezo cha kwanza sura pesa tutatafta tu ila amani ya nafsi yakuwa na unachotaka iyo haitafutwi.

I have balance the story. I don't argue no more .

Have a nice day vampire.

Sent using Jamii Forums mobile app
bwahaaaaa...kumbe wewe ni mtazamaji wa churchill...jokes za ma comedian wetu....wooooiiii.....bro hujafika kenya kumbe....

km una apartment usitutangazie sisi...bora ukazane tu kukilipia kiwanja kodi na mjengo kodi...yani kiufupi serekali imekukodishia hicho kiwanja...mjengo wako alafu unaulipia kodi..kweli aisee...
 
Ndio kiswahili cha Wakei😛
hahaaaaa...kumbe hta ile sifa ya kwamba watanzania wote wanajua kiswahili ni longo longo za vijiweni.. yani wakenya mkitaka kuona watanzani hawajui kiswahili waende bukoba...yani wakiongea hadi raha...

sifa zenu za kiswahili na urembo tumeshazijua..ni longo longi tu...kuna watu hko wanaongea kiswahili km commedy vile...alafu madem wabovu mpka wale air hostess wa air tanzania kuna wabovu sana
 
ni wazuri wanajikubari hawajuagi kuiga watu ingine nje ya Kenya ukiona walioiga ni jamii ya mombasa
Kama mmefikia kuwa na miss mwenye sura mbovu kama huyu,hao mademu wa mtaani kaeni nao wenyewe,usishindane dada zetu (hammer) na hao dada zenu mungiki (toyota probox)
Screenshot_20181202-161041.jpeg
 
Kweli mademu wa Kenya except ya Mombasa sura kama baba zao
Kenya ni kubwa,black nigga,dem wa eastern hatafuanana na wa western,dem mkikuyu hatafanana na mjaluo,buda wish siku moja upatane na dem mmaasai na akue fiti,utachizi,mi personally nimetambua maasai chics,ukapata mrembo atakuwa mrembo kweli na kila kitu mpaka akili,juu akili ni muhimu kuliko urembo,na hapo ndo shida iko wakenya madem wana akili lakini TZ wote dunder tu,#Urembo huisha buda
 
Back
Top Bottom