Demu ya Kenya vs demu ya Tanzania

Demu ya Kenya vs demu ya Tanzania

Wanawake wa Kikenya ni wazuri maajabu haya yaani sura hakuna hata shepu ni tudogo wawili watatu nilikuwa huko mwaka juzi aiseee nilipata tabu unakuta mwanamke anakushangaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha kuna siku kwenye bus baba mmoja anasem awanawake wa Kenya sura ngumu alafu wamekomaa ila wanapenda nguo fupi basi wanakua kama kuni na hawavutii, ila wa Tz ni balaa kwa uzuri.

Kusema kweli wanawake wa TZ ni wazuri jamani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha kuna siku kwenye bus baba mmoja anasem awanawake wa Kenya sura ngumu alafu wamekomaa ila wanapenda nguo fupi basi wanakua kama kuni na hawavutii, ila wa Tz ni balaa kwa uzuri.

Kusema kweli wanawake wa TZ ni wazuri jamani.
Mamy usione naandika hivi kama utani ukifika Kenya kwanza utashangaa sura zao, kisha ukomavu wao zaidi ya chuma ukijiroga kuwa na mwanaume wa huko wanajua kuganda kama kupe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha kuna siku kwenye bus baba mmoja anasem awanawake wa Kenya sura ngumu alafu wamekomaa ila wanapenda nguo fupi basi wanakua kama kuni na hawavutii, ila wa Tz ni balaa kwa uzuri.

Kusema kweli wanawake wa TZ ni wazuri jamani.
Basi nabakia Bongo sihami mkwe!
 
Mamy usione naandika hivi kama utani ukifika Kenya kwanza utashangaa sura zao, kisha ukomavu wao zaidi ya chuma ukijiroga kuwa na mwanaume wa huko wanajua kuganda kama kupe.
Mie nawafahamu vizuuuuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
heheeee...nlikuwa nam reply nani hyo post...woooiii...then we huez shindana na mimi kiswahili . kiswahili chako bado sana.. labda uniletee ndugu zako wa zanzibar
Sasa hivi umeshasahau?? 😂😂 aisee!
Kwanza siwezi kushindana na wewe.
"huez " ndio nini?? 😂😂
Kaeni na ngedere mnaowaita ni madem zenu 😂
Waliokomaa kama kuni!

Pia aliyekwambia nani kuwa Mimi ni mzenji?
Hii tabia ya kujifanya unaijua Tz nzima itaisha lini!?

Baki tuu huko kwenu Nyeri😂😂😂
 
Back
Top Bottom