Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"

Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"

Nimekumbuka zamani sana hii ya "tabia ni ka ngozi haibadiliki".
Mbona Wema au Baby Madaha sio wa 2006?
 
Last edited by a moderator:
Hamjafika ofisini kwangu lakini...!

hatuna haja ya kusema zaidi ya wewe kukubaliana na ukweli na utangaze ndoa fwasta....
Maana tofauti na maneno kwa sasa unaona picha...
Au sio?? Baba V?
 
Last edited by a moderator:
Baba V heshima yako ni kubwa sana kwenye hili jamvi
hi ya kuanza kuingia ndani na kudisi ndoa ulizozikuta ulipotoka nyuma ya nondo
siyo nzuri,
na sisi tunataka baraka zako mwenyekiti.

Mi sina ubaya nanyi, kamilisheni taratibu tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom