Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"

Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"

Hivi Baba V inarasimishwa kwa kuja kufanya ile kitu mbele yako au ni vipi hebu niambie
Sikusingizii naona mlikuwa mnaomba sana ndoa yangu ivunjike
haya huyo Dena Amsi yuko free sasa juu yenu tumuone mshindi ni nani

Mfanye nini mbele yangu!!?? kuwa na adabu dogo
 
Last edited by a moderator:
Baba V usije kama moto wa mabua
useme aliko Mama v kwanza.
Mr. Rocky nakupenda.

Habari zenu wadau, leo asubuhi nimepata ujumbe kutoka kwa mdau Dena Amsi akinipa taarifa kuwa ameamua kuachana na Mr Rocky kutokana na tabia za Mr Rocky za kubeba beba wanawake kumchosha. Sehemu ya ujumbe huo ilisema hivi, Nanukuu "Mwenyekiti nimefikia hatua ya kuachana na mume wangu Mr Rocky baada ya kumvumilia kwa muda mrefu nikidhani kuwa angebadilika lakini nimegundua kuwa tabia ni kama ngozi huwezi kuibadili, hivyo nimeamua kujiweka pembeni aendelee na mambo yake kwa uhuru". Mwisho wa kunukuu, Kwa mujibu wa ujumbe huo ni kuwa hadi sasa Dena Amsi amekata kamba kwa Mr Rocky. Juhudi zangu kumtafuta Mr Rocky ili aelezee jambo hili zimegonga mwamba baada ya simu yake kuita muda wote bila majibu na baadae ikapokelewa na Mamndenyi ambaye baada ya kumwambia kuwa nilitaka kuongea na Mr Rocky kuhusu habari yake na Dena Amsi alinijibu kuwa Mr Rocky yuko nje ya nchi kwa mapumziko afu akasonya na kukata simu. Nimeamua kuileta hapa ili Mr Rocky aje alizungumzie hili.

Copy: Arushaone Nicas Mtei, Sefeti Erickb52, Mungi, Filipo et al.
Wasalaam Baba V.
 
Last edited by a moderator:
Nyie hapo Baba V na Dena Amsi kinawauma nini kwa mimi kuwa na Mamndenyi mpaka sasa mtoa na maangalizo yenu
Kwani wakati wa ndoa zenu nani alikuwa anawapa ushauri
Tuacheni bana tupumzike kwa raha
 
Last edited by a moderator:
Baba V heshima yako ni kubwa sana kwenye hili jamvi
hi ya kuanza kuingia ndani na kudisi ndoa ulizozikuta ulipotoka nyuma ya nondo
siyo nzuri,
na sisi tunataka baraka zako mwenyekiti.

Ndo zako "playboy" sipati picha siku huyo bibi anakuja hapa analia
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom