Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"

Baba V NIMEKUULIZA SWALI UKASHINDWA KULIJIBU UNATAKA TURASIMISHE VIPI MAHUSIANO YETU
tUJE TUFANYIE HAPO KWAKO OFCN

Unaleta uchizi mambo leo ee...,,!!!huzijui taratibu za kufuata!??
 
Last edited by a moderator:
Unaleta uchizi mambo leo ee...,,!!!huzijui taratibu za kufuata!??

HAhahahahah Baba V wacha ukali bana mwenyekiti anapasw akuwaelimisha wajumbe wake namna ya kurasimisha ndoa
hebu fanya mchakato wa kuitangaza ndoa yangu mapema ishafungwa lakini na kwa sasa mimi na Mamndenyi tunakula honeymoon yetu

Hakuna cha kusema Arushaone ni wewe mwenyewe hapo

Oppps sikujua sorry dear Dena Amsi
Ila si unaona Arushaone anatangaza ndoa mapema aise
 
Last edited by a moderator:

Hebu wasiliana na kamati ya sheria ya akina Judgement, Ruttashobolwa na Kipipi muone kama mna legitimacy ya kufunga ndoa, wakijiridhisha hao watanipa go ahead..
 
Last edited by a moderator:
Hebu wasiliana na kamati ya sheria ya akina Judgement, Ruttashobolwa na Kipipi muone kama mna legitimacy ya kufunga ndoa, wakijiridhisha hao watanipa go ahead..

Wewe kama mwenyekiti wasilisha masuala yetu bana sio mimi mwanadoa niwasilishe huko
Unatakiwa wewe uwasilishe mambo yetu kwa akila Judgment, Ruttashobolwa na Kipipi na wao watoa maoni yao
Hiyo legitimacy nani anaamua
Sisi wenye ndoa tushajiridhisha tuna legitimacy sasa hao watu wako sio wa kutuamulia bana wao ni nani mpaka waseme kuwa tuna au hatuna legitimacy
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…