Hata Vin Diesel alikuja kama wewe....hahahah, mie nikamlengesha apatane na CL lakini wakashindwa patana, nawe nakulengesha uende kwa sweetlady, akikukubali basi heri na asipokukubali pia heri, baba mtu sina ushawishi wowote kwa maamuzi yao
Lucas hayo mambo ya kulelewa unayajua wewe ila mimi najua mimi na Mamndenyi nifamily moja na tunapendana mengine yaache yakae kama yalivyo
Ndo unapewa taarifa hivyo aise
watu8 afadhali umekubali bana achana na akina Baba V sijui erickb52 na mwenzake Mungi