Hahahahahaaa Mamndenyi rudi kwa Vin DieselErickb52 usiseme sana
si unajua kuwa mahawara hawaachani milele
shauri zako wewe jiweke kwa mbele kwa mbele
wakati niko mtaa wa pili hapa nakutazama tu.
Chukua hatua sasanakuangalia tu....! We endelea!
Hahahahaa nimezifuta haya ongea sasa!Ondoa hizo copy ili tuongee vizuri....
Chukua hatua sasa
Hahahahahaaa Mamndenyi rudi kwa Vin Diesel
Mtanifanya mwenyekiti wenu niwehuke sasa kha...!! ladyfurahia niandalie fasta kile cheti cha ndoa kama cha Madame B ili wawe wanaongeza tu waume...
Hahahahahaaa Mamndenyi rudi kwa Vin Diesel
Hahahahaa nimezifuta haya ongea sasa!
Anajifanya jengua kwenye anga za watu, kwisha habari yake!!!!!
Ngoja niwashe taa ya rangi kwanza.......
mwangalukaah!!!!!!
Kwani unataka tufanye matusi?
Mhhh Slave na huyo Lady doctor inakuwaje maana naona unahaha huku mara kule na huyo manoah ndio mpambe nini
mwangaluka, wamisha kinehe?
hahahaa.... Na kametishika kweli....! Ila ndugu yangu unavyomuona Slave atanifaa? Maana nimeng'ang'aniwa na Chimbuvu nafanya mpango wa kujinasua then kuna kakijana cha kuleee kaskazini nakenyewe nahisi kukapenda ila kanavuta bangi mbayaaa, na sometime kanajifanya kalokole then kunanjemba moja kila kukicha yeye na mastres, stress na yeye, na yeye anataka kuniwowa.... Nashindwa nichague wapi mwenzio!!
Slave na Lady doctor ndio safari imeanza .. ulikua hujui/
Mr Rocky una akili sana wewe!Mkuu HorsePower uzalendo ulinishinda nikatafuta nyumba ndogo Mamndenyi kwa ajili ya kupitisha siku ila hata yeye Mamndenyi alijijua tuu kuwa anaiba na kama ni uhusiano uko ICU unasubiri kuondoka siku yoyote