Niache kwanza nikae eda
kuachwa na kufiwa na mume yote ni sawa.
Vin Diesel alinikataa mapema
akatimukia kwa Paloma
Mbona nijuavyo Paloma binamu yangu yuko na sosoliso au nako alienda akala cha mbavu nini aise
Duh ndo maana Vin Diesel alikimbia jukwaa kwa stress
Pole yako..si umeniacha
nani kasema anataka mwanaume mwingine
mimi bado niko eda najipaka machicha ya nazi na majivu
hadi nipate ngozi mpya.
Niache kwanza nikae eda
kuachwa na kufiwa na mume yote ni sawa.
Vin Diesel alinikataa mapema
akatimukia kwa Paloma
Mbona nijuavyo Paloma binamu yangu yuko na sosoliso au nako alienda akala cha mbavu nini aise
Duh ndo maana Vin Diesel alikimbia jukwaa kwa stress
Mtamshika uchawi kila mtu lakini nahisi tatizo liko kwako, why do they do you then they go!??
mimi siyo wa kuhurumiwa
kihiiiiivyo,
ngoja nimalize eda