- Thread starter
- #361
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaah!! Haya kaka..Nilishahamia airtel mkuu....kiporo kikichacha kinatakiwa kumwagwa....
Vin Diesel dah kusikia tuu Mamndenyi ameachwa umekuja mbio
Ushamuona Katavi hapo juu alivyo mbio kumuwahi au na wewe unataka uongie kwenye mchakato upya
Vin Diesel halafu nakutafuta sana ujue
Mkuu hujui kwamba kupasha ni rahisi kuliko kupika? ila kwenye hili nitapendelea kupika tu kwani muda ninao...
Tutafutane tu kamanda....
Mamaaaa....! Pedeshee Bishanga naye anamtaka..! Itabidi niende kwa mwene Kapufi pale itwelele ili kujifua zaidi niweze kupambana na hawa mapedeshee wa hapa chitchat.
Vin Diesel safari hii nabeba Mamndenyi nitampendesha mpaka udenda uwatoke tenaMkuu hujui kwamba kupasha ni rahisi kuliko kupika? ila kwenye hili nitapendelea kupika tu kwani muda ninao...
Tutafutane tu kamanda....
Vin Diesel usitudanganye hapa mbona tuu siredi ya kuachwa kwa Mamndenyi ndo imekuleta huku aise wakati muda wote ulihamia jukwaa la kule chini la Kimbweka na funzadume na wenzake binamu yangu Madame B na Evelyn Salt
Vin Diesel safari hii nabeba Mamndenyi nitampendesha mpaka udenda uwatoke tena
Vin Diesel safari hii nabeba Mamndenyi nitampendesha mpaka udenda uwatoke tena
Mkuu wakati naondoka sikuaga....sasa kuna raia wakijua nipo hapa moto utaniwakia.....lile jukwaa la chini najua mod wake ni Evelyn Salt....
Mie huko nilishaondoka toka enzi za ukoloni....jibebee kwa raha na shida zako....
Utarudi na kuanzisha sredi hapa na nakuomba uni-tag tafadhali....
Vin Diesel safari hii nabeba Mamndenyi nitampendesha mpaka udenda uwatoke tena
Vin Diesel mbaya sana aise kuondoka bila hata kuaga
Karibu sana mji wa baridi bana maana kwa sasa baridi imepamba moto mbaya
Usijifiche sana bana
Slave umezidi sasa mara Lady doctor mara Evelyn Salt na Mamndenyi tena duh sasa wewe utachkua nafasi ta penda penda ya Erickb52 maana umezidi
Hujipendi.Vin Diesel safari hii nabeba Mamndenyi nitampendesha mpaka udenda uwatoke tena