Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
achana nao my swt, hao wana kashfa nyingi sana. Unajua kilicho mkimbizaga mr penda penda Vin Diesel hapa mjini? Baada ya kuachana na Mamndenyi jamaa alihaha mpaka akaparamia kitoto cha miaka tisa kinaitwa sharifaa kwahiyo wasikupotezee muda, afu vp mpango wetu wa ndoa.?
Msimulie yote kuhusu Evelyn Salt kama hatakukimbia.....
achana nao my swt, hao wana kashfa nyingi sana. Unajua kilicho mkimbizaga mr penda penda Vin Diesel hapa mjini? Baada ya kuachana na Mamndenyi jamaa alihaha mpaka akaparamia kitoto cha miaka tisa kinaitwa sharifaa kwahiyo wasikupotezee muda, afu vp mpango wetu wa ndoa.?
Shing' ngapi Dr.?
Msimulie yote kuhusu Evelyn Salt kama hatakukimbia.....
Slave hatuna taarifa ya kuvunjika kwa ndoa yako na Evelyn Salt hata mwenyekiti Baba V hana taaria. Mpaka tutakapotangaziwa hapa ukumbini kuvunjika kwa ndoa yako ndo tutakupa uhuru wa kwenda kwingine
Kwa hiyo kwa sasa naona tu unamdanganya Lady doctor na anaweza kuishia kuwa nyumba ndogo
Vin Diesel uliteuliwa na kikao halali kuwa makamu mwenza wa chama cha penda penda
Arushaone nakuangalia tuu we endelea na mambo yako kama sitamwambia Lady doctor siri zako
Lady doctor ukiona unatajwatajwa jua kwamba uko juu na kuna watu wana interest na wewe na hapa ushaona kuna Vin Diesel kuna Slave na Arushaone
halafu Mr Rocky nitahitaji unisaidie kitu kimoja kama upo tayari
Vin Diesel bora umemwambia huyo Slave maana yeye anawasiribia wenzake wakati yeye naye hajatulia
hahaa kweli Vin Diesel wewe ni mgeni unatakiwa uitiwe Madame B akukague kwa mara ya pili, kwa taarifa yako tu Lady doctor na Evelyn Salt wanapenda sana na hivi karibuni natangaza ndoa ambapo best ya lady doctor atakuwa binti salt.
Niache kwanza nikae eda
kuachwa na kufiwa na mume yote ni sawa.
Vin Diesel alinikataa mapema
akatimukia kwa Paloma
Mbona nijuavyo Paloma binamu yangu yuko na sosoliso au nako alienda akala cha mbavu nini aise
Duh ndo maana Vin Diesel alikimbia jukwaa kwa stress
mie na Vin Diesel hatujaachana...................uuuwi msimwambie thotholitho jamani! sosoliso you are my ozzbend and i am so married to you and you know that!
Habari ya uzima wapendwa....mmenitaja mpaka nimefufuka.....
mie na Vin Diesel hatujaachana...................uuuwi msimwambie thotholitho jamani! sosoliso you are my ozzbend and i am so married to you and you know that!
Unasemaje Paloma..??
cc Baba V..
Lady doctor mimi niko taayari
Ni hapa hapa au twende kule pembeni wasione Slave wala Arushaone wala Vin Diesel
hahaa kweli Vin Diesel wewe ni mgeni unatakiwa uitiwe Madame B akukague kwa mara ya pili, kwa taarifa yako tu Lady doctor na Evelyn Salt wanapenda sana na hivi karibuni natangaza ndoa ambapo best ya lady doctor atakuwa binti salt.
mie na Vin Diesel hatujaachana...................uuuwi msimwambie thotholitho jamani! sosoliso you are my ozzbend and i am so married to you and you know that!
Kumbe umeolewa tena....hatari sana:A S-fire1:
bora uendelee kufa hukohuko..........huku hakukufai! afu nshakushtukia id yako ile nyingine!