Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Slave hela yake ya madafu ya kusubiri baba akohoe bna ya Vin Diesel ni ya kumwaga yaani unachota tuu pound na euro na dollar hakuna pesa za madafu
ngoja nimtest kama ataweza kushika pembe asije akaning'inia kama Slave
Asee kifurushi si tuliweka cha unlimited mwaka mzima....au ukisema kusurf net wamaanisha jambo lingine
Evelyn salt hawezi niambia chochote coz ni adui yangu mkubwa
Wakati wa ujana wake akiwa anafikia ujana alikuwa penda penda ila kwa sasa ametulia mbaya yaani akiwa kwenye ndoa naamini itakuwa mfano hapa chit chat
Karibu kwangu kwenye maziwa na asali.....mie vyangu vitendo na sio maneno
hivi hajaachiwa wadudu? maana me pendapenda nawaogopaga sometime
Mkuu hujui kwamba kupasha ni rahisi kuliko kupika? ila kwenye hili nitapendelea kupika tu kwani muda ninao...
Tutafutane tu kamanda....
Alikufanya nini hasa....maana kama ana ugomvi na wewe basi na mie natangaza vita nae....
Mkuu hujui kwamba kupasha ni rahisi kuliko kupika? ila kwenye hili nitapendelea kupika tu kwani muda ninao...
Tutafutane tu kamanda....
Dogo nakuhitaji ofisini kwangu kwa ajili ya ufafanuzi wa kina, kipindi chote ambacho hukumepo hapa wamezaliwa watoto wa kike 6 na wa kiume 8 na inasemekana ni mimba ulizozikimbia, mama na watoto wao nawalea home kwangu ila maadam umerudi uje tuwekane saa, mwanaume kulea familia, kuzaa hata mjusi anazaa dadadeki...
Dogo nakuhitaji ofisini kwangu kwa ajili ya ufafanuzi wa kina, kipindi chote ambacho hukumepo hapa wamezaliwa watoto wa kike 6 na wa kiume 8 na inasemekana ni mimba ulizozikimbia, mama na watoto wao nawalea home kwangu ila maadam umerudi uje tuwekane saa, mwanaume kulea familia, kuzaa hata mjusi anazaa dadadeki...
Huwa tunapima mara tatu kwa mwaka kujihakikishia uko safi na Vin Diesel ni ndugu yangu huwa ni lazima akapime mara kwa mara
Maayooo...weeee....!!!!! bora umekuja Baba V
Baba V ni mwongo ana nia ya kukupata ndo maana amekuja na story kama hizi hazina ukweli kabisa nakana kabisa taarifa hizi za uwongo
Dogo nakuhitaji ofisini kwangu kwa ajili ya ufafanuzi wa kina, kipindi chote ambacho hukumepo hapa wamezaliwa watoto wa kike 6 na wa kiume 8 na inasemekana ni mimba ulizozikimbia, mama na watoto wao nawalea home kwangu ila maadam umerudi uje tuwekane saa, mwanaume kulea familia, kuzaa hata mjusi anazaa dadadeki...
Baba V twamjua kwa kuharibu ndoa za watu hapa jukwaani....ninakana tuhuma zote alizonirushia....mbona sijamuona Vin Diesel akikanusha?
Mbona wataka kuniharibia ndoa yangu mkuu....matumizi mabaya ya madaraka haya....