Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Erickb52 huyu anaependa kunichungulia nyuma?
Na wasiwasi na uteuzi wako wa mashahidi
nitamkubalije haraka bhana... Bila yeye kuonyesha vitendo?
Acha uongo mpz...mimi niko gado kama chuma cha mjerumani bibie.
naomba nikuone baadae
Mhhh kumbe ashaanza tabia hiyo Lady doctor huyu jamaa Erickb52 hafai kabisa
Hapa bora nikuambie wazi Vin Diesel anakufaa ametoka machimbo ana fweza kama tajiri Bishanga yaani yeye anamwaga tuu
Arushaone mchovu hela yake ya manati inatoka kwa budget
Slave bado kula kulala hata bei ya chumba cha kupanga hajui bado denti wa mlimani primary skuli
Lady doctor....sikia maneno ya mtumishi....Lady doctor ukishamkubali Vin Diesel utaona magendo yake yote we sema tuu tutangaze hapa utaona matendo
nasikia wote nyie ni chama kimoja
naomba nikuone baadae
Mhhhhh huu mkutano una mambo mazuri kweli huu sio kumzunguka Vin Diesel kweli
Tena unaenda kukutana na Arushaone king mswati
usiwe na wasiwasi Mr Rocky... Arushaone kuna majibu ya vipimo aliyasahau jana baada ya kumpima so namuita ili aje ayachukue
Lady doctor....sikia maneno ya mtumishi....
Mbona machale ya kwenye ulimi yananicheza.....
Mbona machale ya kwenye ulimi yananicheza.....
Anytime baby the door is open for you.I rewarding you Reputation Power. NOTE unazo 488 kabla sijakuongeza.