Dena Amsi na Mr Rocky

Dena Amsi na Mr Rocky

Last edited by a moderator:
Mr Rocky wakati mna maugomvi yenu kutwa kucha kunikosesha usingizi kwa mashtaka, leo mmepatana hata karibu ya soda hamna!! Msije tena siku nyingine lolNawatakia kila la kheri.... na mkome kusikiza maneno ya watu...................


Wew Dada Mkubwa yako sio soda bana kuwa mpole tutakualika usijali

Copy: Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky una akili sana wewe!
copy: Mamndenyi nilikukanya uachane na ma handosome hukusikia,haya sasa yamekukuta na kwangu huwezi rudi maana siku hizi mi naruka na viji chicken spring,ya nini bwana kujitesa na hela nnayo.
copy: amu, Zion Daughter na Arabela ........jioni tukutane Ambrosia mkiweza njooni na kibibi Kongosho kisadie kulinda magari tutakuwa tunakitupia vipande vya kuku.
Mweeee!Mabwaku haya!
Pole sana Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom