sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
Huyo huyo sosoliso kwani vipi?..... Wapili kivipi hebu fafanua kidogo
Lol sweetlady.. Yaani nitonye alimuendea Arabela Tanga.. Lakini ikashindikana.. Akauza nyumba ya urithi kwa kushauriwa na Bishanga.. lakini wapi bado akaambulia kibuti.. Arabela kalamba hela za nyumba ya urithi na akaingia mitini.. Sasa hivi nitonye anaishi maisha ya mashaka sana.. Ameathirika kisaikolojia.. Kila apitapo neno lake ni Arabela..
Last edited by a moderator: