Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Wakichapisha noti za kutosha deni wakalipa wanapata hasara gani?Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Farao.
Deni la Marekani kwa takwimu za 2023, limefikia $34 trilioni. Kiwango hiki kinaifanya Marekani kuwa kinara wa deni kubwa kabisa duniani. Kumbe hata matajiri wanakopa!
Chanzo:
Reuters
https://www.reuters.com/world/us/total-us-public-debt-tops-34-trillion...
US public debt tops $34 trln as Congress heads into funding fight
The U.S. federal government's total public debt has reached $34 trillion for the first time, the U.S. Treasury Department reported on Tuesday as members
My take: Ukiukumbatia ubebari, raha yake ni kukopa. Japo kulipa ni majanga.
Ngoja nasi tuchapishe. Kwa maana tumewaiga kuwa mabepari, hivyo hata hilo nalo litawezekana.Wakichapisha noti za kutosha deni wakalipa wanapata hasara gani?
Halafu wanakimbilia kuomba visa nchi inayokaribia kufilisika! Pathetic!Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Farao.
Deni la Marekani kwa takwimu za 2023, limefikia $34 trilioni. Kiwango hiki kinaifanya Marekani kuwa kinara wa deni kubwa kabisa duniani. Kumbe hata matajiri wanakopa!
Chanzo:
Reuters
https://www.reuters.com/world/us/total-us-public-debt-tops-34-trillion...
US public debt tops $34 trln as Congress heads into funding fight
The U.S. federal government's total public debt has reached $34 trillion for the first time, the U.S. Treasury Department reported on Tuesday as members
My take: Ukiukumbatia ubebari, raha yake ni kukopa. Japo kulipa ni majanga.
Hao matajiri hawakopi kama nyie masikini.Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Farao.
Deni la Marekani kwa takwimu za 2023, limefikia $34 trilioni. Kiwango hiki kinaifanya Marekani kuwa kinara wa deni kubwa kabisa duniani. Kumbe hata matajiri wanakopa!
Chanzo:
Reuters
https://www.reuters.com/world/us/total-us-public-debt-tops-34-trillion...
US public debt tops $34 trln as Congress heads into funding fight
The U.S. federal government's total public debt has reached $34 trillion for the first time, the U.S. Treasury Department reported on Tuesday as members
My take: Ukiukumbatia ubebari, raha yake ni kukopa. Japo kulipa ni majanga.
Na Marekani ndiye mchangiaji mkubwa wa bajeti za mashirika yote ya UN.Kwanza ndio nchi ya kwanza duniani kwa kutoa misaada .........hakuna kama marekani............akisema sitoi misaada miezi 6 tu anakuwa adaiwi hata nukta
Unajua wanadai trillion ngapi?
Hii mentality ya wazungu kuja kunyonya nchi zingne ili wao wawe matajiri sijui ilitokeaga wapi. Kama kweli utajiri huo upo kwetu kweli swali ni je kwann hatunufaiki nao na sisi tuwe matajiri kama hao wazungu mnaosema walikuja iba na kunyonya mali zetu...Ukikopa halafu ukaenda kuzitumia kunyonya nchi za watu ukapata mara mbili basi wewe utakuwa na akili. Ila ukikopa halafu ndege zako baadae zikakamatwa sijui hapo inakuwaje
Sio walikuja. Wapo na wananyonya. Inahitaji bajeti kubwa kuwa dominant. Mwenye kisu kikali ndio anakula. Kwenye gesi leo nikikuuliza hesabu zake unazijua? Kwenye madini? Ni watanzania wangapi wanamigodi / NI CONTRACTORS wangapi wa kitanzania hupewa contracts USA? Sasa kama wewe unajua unyonyaji ni mpaka waje na mijeledi nakushauri ubadili mentality yakoHii mentality ya wazungu kuja kunyonya nchi zingne ili wao wawe matajir sjuiiliyokeaga wap ma.mae...kama kwel utajir huo upo kwetu kwel swal ni je kwann hatunufaik nao nasis tuwe matajir kama hao wazungu mnaosema walikuja iba na kunyonya mali zetu...
Ukwel ni kwamba wazungu wanapambana na sie wengne ni watazamaj tu..wazee wa lawama