Deni la Marekani ni $34 trillioni

Deni la Marekani ni $34 trillioni

Kwanza ndio nchi ya kwanza duniani kwa kutoa misaada .........hakuna kama marekani............akisema sitoi misaada miezi 6 tu anakuwa adaiwi hata nukta
Kabisa mkuu,niko idara ya Afya. Kuna pesa inaingizwa kupitia mfuko wa Basket Fund. Hizo pesa hugawiwa zahanati zote nchini,vituo vya afya vyote nchini na hospital za wilaya zote nchini. Ni fungu nono mnoo. Wao ndo wafadhili wa huo mfuko.
 
Uzuri pia wa Marekani anaweza kugoma kulipa hayo madeni na hakuna chamkufanya, sasa wewe Tanzania goma kulipa hayo madeni kidogo unayodaiwa uone cha moto..
 
1. Deni la Marekani liko kwa Dola za Marekani.
2. Deni la Marekani sehemu kubwa ni deni LA ndani, Deni la watoa huduma na wafabiashara wa ndani, Mfano Boeing. Boeing hata akiiuzia Serikali ndege ya kijeshi ya Dola million 100 kwa mkono, Tanzania huku tunanua ndege Boeing kwa Dola million 110, % ya hela yetu itaenda kwenye Kodi ya Serikali ya Marekan, kwa hiyo Deni lao sio rahisi kuwa baya sana
 
Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Farao.

Deni la Marekani kwa takwimu za 2023, limefikia $34 trilioni. Kiwango hiki kinaifanya Marekani kuwa kinara wa deni kubwa kabisa duniani. Kumbe hata matajiri wanakopa!

Chanzo:
Ikon för global webb
Reuters
https://www.reuters.com/world/us/total-us-public-debt-tops-34-trillion...

US public debt tops $34 trln as Congress heads into funding fight

The U.S. federal government's total public debt has reached $34 trillion for the first time, the U.S. Treasury Department reported on Tuesday as members

My take: Ukiukumbatia ubebari, raha yake ni kukopa. Japo kulipa ni majanga.
Kwamba Marekani nayo huduma ni mbovu kama Tanzania?
 
1. Deni la Marekani liko kwa Dola za Marekani.
2. Deni la Marekani sehemu kubwa ni deni LA ndani, Deni la watoa huduma na wafabiashara wa ndani, Mfano Boeing. Boeing hata akiiuzia Serikali ndege ya kijeshi ya Dola million 100 kwa mkono, Tanzania huku tunanua ndege Boeing kwa Dola million 110, % ya hela yetu itaenda kwenye Kodi ya Serikali ya Marekan, kwa hiyo Deni lao sio rahisi kuwa baya sana
Kwanza huduma zao zikoje?
 
Bado wengi hawaelewi na hawataki jielewesha
 
Ukiwa umeishia la saba usipende kutoa mawazo yako umeongea kitoto sana.
Somo la uraia darasa la SITA na historia darasa la Saba si tulifundishwa uchumi wa marekani hautegemei uzalishaji pekee kwa kuwa hela Yao ni dhamana kwa hela nyingine kwa hiyo kuchapa noti nyingi ni sawa na Tanzania kuchimba dhahabu nyingi!
 
Somo la uraia darasa la SITA na historia darasa la Saba si tulifundishwa uchumi wa marekani hautegemei uzalishaji pekee kwa kuwa hela Yao ni dhamana kwa hela nyingine kwa hiyo kuchapa noti nyingi ni sawa na Tanzania kuchimba dhahabu nyingi!
Kwa kujuana mimi ni mchumi unajitia aibu
 
Kwanza ndio nchi ya kwanza duniani kwa kutoa misaada .........hakuna kama marekani............akisema sitoi misaada miezi 6 tu anakuwa adaiwi hata nukta

Akiacha tu kutoa ARV watu wanakufa kama kuku na yeye hela inarudi.
 
Uzuri pia wa Marekani anaweza kugoma kulipa hayo madeni na hakuna chamkufanya, sasa wewe Tanzania goma kulipa hayo madeni kidogo unayodaiwa uone cha moto..
Deni halina cha mkubwa wala mdogo dawa yake kulipa tu, ispokuwa kulipa kwa mpango maalumu, TATIZO LA TANZANIA TUNAKOPA HALAFU TUNATENGENEZA MIRADI DUNI YENYE LIFE EXISTENCE FUPI, HASARA YA MIKOPO YETU TUNAIPATIA HAPO. WENZETU WAKIJENGA WAMEJENGA WAMEMALIZA, MFANO KAMPUNI PEKEE ILIYOWEZA KUJENGA BARABARA ZA KUDUMU TANZANIA ILIKUWA NI MOWLEM YA UINGEREZA,AKIJENGA HESABU MIAKA 50-100.
 
Deni halina cha mkubwa wala mdogo dawa yake kulipa tu, ispokuwa kulipa kwa mpango maalumu, TATIZO LA TANZANIA TUNAKOPA HALAFU TUNATENGENEZA MIRADI DUNI YENYE LIFE EXISTENCE FUPI, HASARA YA MIKOPO YETU TUNAIPATIA HAPO. WENZETU WAKIJENGA WAMEJENGA WAMEMALIZA, MFANO KAMPUNI PEKEE ILIYOWEZA KUJENGA BARABARA ZA KUDUMU TANZANIA ILIKUWA NI MOWLEM YA UINGEREZA,AKIJENGA HESABU MIAKA 50-100.

umesahau pia, tunakopa halafu watu wanazigawana hizo hela za mikopo.

Uwekezaji kwenye maeneo yasiyo na tija.

Kutoa kuwa na mipango sahihi ya maendeleo matokeo yake misaada na mikopo ikija inakwenda kutumika hovyohovyo.
 
Ndo mtegemewa wa Dunia.

MTEGEMEWA WA DUNIA NDANI HALI NI HII



1704349420460.jpeg


1704349452270.jpeg


1704349520366.jpeg
 
Sisi wenyewe deni lingepungua, tunazembea tu...tuungie Congo hapo kwa kigezo cha kulinda amani, tutoke na dhahabu, copper nk..
Wanajeshi si tunao wengi tu
 
Back
Top Bottom