Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna jipya Wala kitu Cha ajabu hapo,Hadi lifike til 100 hivi ndio walau tunaweza stuka.Deni limeongezeka kwa Tril 4 ndani ya miezi 4
Deni halijumuishi Tril 1.3 ambayo tumekopa Mwezi uliopita kutoka WB
Deni hili ni la Serikali tu, tukijumlisha na lile la Sekta Binafsi linafika Tril 98
Maelezo zaidiView attachment 2534658
Kazi inaendelea kazi na Bata !!safi sana, Habari njema kabisa
Wao walitaka uhuru wa kuongea, ila nahisi hata wao wenyewe hawajui wanaongea nini?Utasikia Magufuli alikopa sana, huku wao kila mwezi wakikopa tilioni 1
Sijamsikia yule mnafiki Zitto akiongelea hili deni
Hii nchi ina watu mazwazwa sana mkuuWao walitaka uhuru wa kuongea, ila nahisi hata wao wenyewe hawajui wanaongea nini?
tafaoti ya samia na magu ni usiri tu samia anakopa mchana kweupe magu akikoea kizani lakini kukopa ni kukopa tu awenda kama angekuwepo magu angekuwa kasha kopa zaidiUtasikia Magufuli alikopa sana, huku wao kila mwezi wakikopa tilioni 1
Sijamsikia yule mnafiki Zitto akiongelea hili deni