HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kwamba wanaenda kopa kama sisi au wao huuza bills na bonds?Hata Marekani inadaiwa pia.
Hapa ndio wengi hatujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wanaenda kopa kama sisi au wao huuza bills na bonds?Hata Marekani inadaiwa pia.
Hapa ndio wengi hatujui
Huku haina maana ya mikopo maana wakikopa sana jua wanaiba sana pia usimamizi wa Fedha za miradi upo chini sana..Mimi naumia sana jikiona mataifa yanamadeni makubwa hivi na yameendelea sana huku sisi tukijisifu tunamadeni madogo na hatujaendelea kabisa.
Kukopa ni njia ya kujiletea maendelea pia nchi yetu imezubaa sana inatakiwa ikope sana yaani mnakopa hadi wazungu nywele ziwasisimke huko walipo..
Mkapa alipunguza na kulimaliza kabisa.Mkuu, deni la taifa lolote lile duniani huwa halipungui, hilo elewa tu, madeni ya mataifa yanaendelea kuongezeka, ni principle, na ndio tutaishi humo,
Usitegemee SA watapunguza hilo deni, hapo watalipa $100B na kukopa 200B mwendo ni huo huo tu dunia nzima
Stick kwenye neno mkopo.Kwamba wanaenda kopa kama sisi au wao huuza bills na bonds?