Deni la taifa Afrika Kusini limefika dola za kimarekani billion 300

Deni la taifa linaloongoza kwa uchumi duniani





?????ni SA?
 
Huku haina maana ya mikopo maana wakikopa sana jua wanaiba sana pia usimamizi wa Fedha za miradi upo chini sana..
 
Iko siku huko mbeleni watu weupe hasa Wazungu wanaotukopesha watakuja kujimilikisha hizi nchi za Waafrika wa Ngozi Nyeusi.

Ubinafsi unatumaliza watu weusi.
Mweusi akipata cheo anawaza kujilimbikizia pesa tu, wengine shauri Yao.
Tunahitaji kujitathmini kwa kina.
 
Mkapa alipunguza na kulimaliza kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…