Mkuu, deni la taifa lolote lile duniani huwa halipungui, hilo elewa tu, madeni ya mataifa yanaendelea kuongezeka, ni principle, na ndio tutaishi humo,
Usitegemee SA watapunguza hilo deni, hapo watalipa $100B na kukopa 200B mwendo ni huo huo tu dunia nzima