Agentcode92
Member
- Feb 11, 2018
- 41
- 55
Eti anaupiga mwingi, utii umetuponza laiti tungelijua...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshamba alishakufa na sasa tuna bon town kwani shida iko wapi?Sasa tunafanya makusanyo ya pesa ya kuwapa wakuu wa vyombo vya dola wakati wa uchaguzi 2025 ili tuendelee kutawala.
Sababu ya wananchi kuwa mazuzu na mazwazwa pia vilaza tutawapa kofia,chumvi nk watasahau shida zote na kuimba nyimbo pendwa ya "wataisoma namba CCM mbele kwa mbele"
"Ujinga wa fikra ni mbaya Sana katika dunia"
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Magufuli alilitoa deni kutoka trillion 35 mpaka trillion 60.9. Maana yake Magufuli alikopa trion 25.9 kwa miaka mitano aliyokuwepo madarakani.
"siujaa"?🤔🤔🤔Hatimaye Mdude Chadema anamsifia Shujaa Magufuli
Na vinachipua kweli kama uyoga wa masikaMbadala wa hivyo vituo vya afya shule nk, ni huu ujenzi wa vituo vya mafuta vinavyochupua kama uyoga. Ndio maana hakuna shida ya vituo vya mafuta hapa nchini.
HahahaTrilioni 30 ni hela ndogo sana kuleta maendeleo uliyoyataja.
Bado inatakiwa tukope zaidi. Deni la taifa la nje kwa mfano limebaki stagnant Sept. 2021 hadi Sept. 2022, limepungua/ limebaki vilevile.
Hata deni la ndani linatakiwa liongezeke.
Tupo masikini sana, kwa hiyo tukope hela tujenge nchi. Hatuwezi kuendelea bila hivyo.
Kwa sanduku lipi la BoxKamanda juu huko vizuri, huyu mama lazima watanganyika tumle kichwa
Hivi hayo mapesa yoote plus kodi zetu zinaenda wapi?Ingekuwa nafuu mtaani kidogo zingepatikana lakini ngoma kila siku inazidi kuwa mgumu
Kamanda ametema cheche za kufa mtu.Mkuu Kamanda , karibu sana Jf , ila Wakikujibu nistue na mimi nisome majibu yao
Lucas chawa mkuu ataleta majibu.Karibu sana Mdude!!
Swali lako halitajibiwa na wala hujakosea kuuliza bali unaowauliza huwa hawana majibu kwa maswali wanayoulizwa.
Good ReadHivi tunajua thamani ya hiyo trillion 30 ambayo serikali ya Samia imekopa ndani ya miezi 20? Mfano tungeamua kujenga barabara ya lami njia nne (Sio mbili) ili kupunguza msangamano na ajali kutoka Dar es Salaam mpaka Tunduma tungetumia trion 3.9 tu kati ya hizo trion 30 zilizokopwa kwa mwaka mzima. Kutokana na shida ya maji iliyopo nchini basi bilion 400 zilikuwa zinatosha kununua magari ya kuchimba visima na vifaa vyake katika halmashauri zote nchini pamoja na kujenga mradi wa maji bwawa la Kitunda kwa upande wa Dar. Ujenzi wa vituo vya afya vilivyobakia nchi nzima pamoja na kukomesha adha ya uhaba wa madarasa pamoja na madawati ulihitaji asilimia 16 ya hizo trillion 30 zilizokopwa kwa ndani ya miezi 20
Good ReadHivi tunajua thamani ya hiyo trillion 30 ambayo serikali ya Samia imekopa ndani ya miezi 20? Mfano tungeamua kujenga barabara ya lami njia nne (Sio mbili) ili kupunguza msangamano na ajali kutoka Dar es Salaam mpaka Tunduma tungetumia trion 3.9 tu kati ya hizo trion 30 zilizokopwa kwa mwaka mzima. Kutokana na shida ya maji iliyopo nchini basi bilion 400 zilikuwa zinatosha kununua magari ya kuchimba visima na vifaa vyake katika halmashauri zote nchini pamoja na kujenga mradi wa maji bwawa la Kitunda kwa upande wa Dar. Ujenzi wa vituo vya afya vilivyobakia nchi nzima pamoja na kukomesha adha ya uhaba wa madarasa pamoja na madawati ulihitaji asilimia 16 ya hizo trillion 30 zilizokopwa kwa ndani ya miezi 20
Waliopewa dhamana ya kutuongoza watakuwa wanafahamHivi hayo mapesa yoote plus kodi zetu zinaenda wap
Hatimaye Mdude Chadema anamsifia Shujaa Magufuli
Ndiyo ujue alistahili na sasa anajutia na amesamehe!
Trilioni 30 ni hela ndogo sana kuleta maendeleo uliyoyataja.
Bado inatakiwa tukope zaidi. Deni la taifa la nje kwa mfano limebaki stagnant Sept. 2021 hadi Sept. 2022, limepungua/ limebaki vilevile.
Hata deni la ndani linatakiwa liongezeke.
Tupo masikini sana, kwa hiyo tukope hela tujenge nchi. Hatuwezi kuendelea bila hivyo.
Hivi hayo mapesa yoote plus kodi zetu zinaenda wapi?
Unamaanisha nini tuishie wapi?Kwa sasa deni lote ni 56% ya GDP kwa hivyo tukope zaidi halafu tuishie wapi? Kwa sasa deni zima ni Trilioni 91-94, sasa tukiendelea kukopa zaidi kwa hii miaka mitatu tutafika asilimia 70, ambayo ni hatari.