Deni la Taifa: Kukopa sio tatizo, lakini tumefanyia nini huo mkopo?

Deni la Taifa: Kukopa sio tatizo, lakini tumefanyia nini huo mkopo?

Ni takwa la wakati sasa kwa deni la taifa kufanyiwa ukaguzi na ofisi ya CAG kwa muda wa miaka mitano iliyopita. Kuacha kulichunguza kwa kina ongezeko la muda mfupi kutoka TZS 64Tr hadi kufikia TZS 91Tr litakuwa ni jambo la kushangaza mno.

Shahuku kubwa katika ukaguzi huu ni kutaka kutambua ni miradi gani na imegharamiwa kwa kiasi gani na fedha hizo zitokanazo na mikopo hiyo. Ndiyo! Hata kama tunaambia kuwa deni hili ni stahimilivu, lakini ni vyema kama taifa tukajiridhisha kila shilingi jinsi ilivyotumika kutokana na vigezo mahususi vilivyopo.

Inashangaza sana katika kipindi ambapo serikali imeleta tozo za ajabu ajabu, sambamba na kujinasibu kuwa inavuka malengo katika ukusanyaji wa kodi kwa kiasi kikubwa, ndipo kipindi hicho hicho inakopa kwa kupindukia.

Either, very disappointedly we've been told without justifiable narrations that, recently our national reserve has dropped from $6.7Bn to $4.5Bn.
 
Trilioni 30 ni hela ndogo sana kuleta maendeleo uliyoyataja.
Bado inatakiwa tukope zaidi. Deni la taifa la nje kwa mfano limebaki stagnant Sept. 2021 hadi Sept. 2022, limepungua/ limebaki vilevile.
Hata deni la ndani linatakiwa liongezeke.
Tupo masikini sana, kwa hiyo tukope hela tujenge nchi. Hatuwezi kuendelea bila hivyo.
Hakuna anaye kataa kukopa..hata mleta uzi kaliweka wazi shida hiyo mikopo haina uhalisia wowote...sijui umemwelewa mleta uzi.

Au unaongea huku unalamba asali?

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna anaye kataa kukopa..hata mleta uzi kaliweka wazi shida hiyo mikopo haina uhalisia wowote...sijui umemwelewa mleta uzi.

Au unaongea huku unalamba asali?

#MaendeleoHayanaChama
Mimi nimemuelewa, wewe unadhani trilioni 30 (usd 13bn) zinaweza kutatua tatizo gani completely?
Hebu shusha mahesabu hapa tuone badala ya kuongea tu.
Je, unalambwa asali?
 
Mimi nimemuelewa, wewe unadhani trilioni 30 (usd 13bn) zinaweza kutatua tatizo gani completely?
Hebu shusha mahesabu hapa tuone badala ya kuongea tu.
Je, unalambwa asali?
Niambie hiyo mikopo imesaidia nini kupunguza ama kuondoa tatizo lolote hapa nchini hata ka kiwango kidogo tu.

Jpm alikopa miradi ikaonekana..huyu anakopa kila uchwao na tozo juu..umeme hoi maji hoi..hali ya uchumi imekua mbaya sana mchele aftatu na uanzidi kupanda.

Kiwango cha fedha benki kuu kimeshuka.

Hakuna miradi mipya..iliyopo kila siku wanasogeza tarehe mbele.

Sihitaji kupiga hesabu ila hali halisi inaonekana.

#MaendeleoHayanaChama
 
tozo zimewekwa na mikopo inakopwa lakini aiendani na kasi ya maendeleo.
Kazi na Bata !! Kwani jamaa aliyejiuzulu wa huko mjengoni anasemaje ? ! We need strong institutions not strong men !! Bila hivyo hatuendi popote maana kila atakaye kuja atakuja na vipaumbele vyake !! Kama ni KAZI na BATA basi itakuwa hivyo hivyo hata mkapiga kelele namna gani haitosaidia chochote !! Majuto mjukuu. !!
 
JPM hakuishia hapo Mkuu, aliacha daraja busisi, daraja Tanzanite. Mzee aliweka flyovers na Barbara ya Kibaha walau katuachia.

Kikwete aliacha nini, hamna.

Waswahili hawa nadhani wanafaa kucheza ngoma na kucheza watoto wao, maendeleo kwao ni msamiati sana. Na ndio maana hata Pwani hii kwa wenyeji ukijenga tu nyumba ya block tayari wewe ni shida, utachukiwa na utasemwa hadi ulogwe. Hii ndo Pwani kwa waswahili na hao ndo waswahili, inaenda hivyo hata huko juu. Kuhusu maendeleo nchi tutafute makabila mengine lakini si hawa waswahili, wao nyumba za nyasi na kulalia majani ndo hatua ya mwisho juu ya maendeleo ...eti wakawaze makubwa kama ya mwamba JPM huko ni kuwatafuta ubaya.

Si michiriku na vigoma vilikuwa vinachezwa Ikulu ama mmesahau?
 
Utaambiwa wamejenga matundu ya vyoo, nchi huenda ina laana hii....
 
Niambie hiyo mikopo imesaidia nini kupunguza ama kuondoa tatizo lolote hapa nchini hata ka kiwango kidogo tu.

Jpm alikopa miradi ikaonekana..huyu anakopa kila uchwao na tozo juu..umeme hoi maji hoi..hali ya uchumi imekua mbaya sana mchele aftatu na uanzidi kupanda.

Kiwango cha fedha benki kuu kimeshuka.

Hakuna miradi mipya..iliyopo kila siku wanasogeza tarehe mbele.

Sihitaji kupiga hesabu ila hali halisi inaonekana.

#MaendeleoHayanaChama
Ilhali inaonekana?? Unaona nini?
Miradi ipi ilyokopewa hela ikamalizika? Si uitaje hata miwili basi, yaani kununua ndege unadhani kutabadilisha maisha ya mtanzania kihivyo. taja mradi mkubwa wenye impact kubwa kwa maisha ya watanzania ambao ulikamilika. hakuna, ndiyo maana lazimatukope tumalizie na tukope kuanzisha miradi mingine mikubwa.
Lazima tukope deni liwe angalau trilioni 500. Trilioni 90 ni bilioni 38$. Hiyo hata kombe la dunia huandai.
 
Ilhali inaonekana?? Unaona nini?
Miradi ipi ilyokopewa hela ikamalizika? Si uitaje hata miwili basi, yaani kununua ndege unadhani kutabadilisha maisha ya mtanzania kihivyo. taja mradi mkubwa wenye impact kubwa kwa maisha ya watanzania ambao ulikamilika. hakuna, ndiyo maana lazimatukope tumalizie na tukope kuanzisha miradi mingine mikubwa.
Lazima tukope deni liwe angalau trilioni 500. Trilioni 90 ni bilioni 38$. Hiyo hata kombe la dunia huandai.
Kijazi flyover..mfugale..barabara ya njia sita kimara to kibaha.

Niambie mahali gani kwa dsm kuna foleni hivi sasa...huoni hii imerahisisha hali ya maisha na kukuza uchumi ndani ya dsm.

Njoo upande wa hali ya maisha..kipindi cha jpm na sasa hali ikoje suala la vyakula..jpm alijua chakula hakitoshelezi akazuia kisitoke nje chakula kikawa jcha bei rahisi..hivisasa chakula hakikamatiki kwa bei.

Alikopa akafanya vitu vinavyoonekana...kwa masilahi ya watanzania sio hizi porojo zilizopo sasa unazojaribu kuzitetea...wakati unajua kabisa ni unafiki mtupu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuwezeahwa kweny kuuza nguo, matunda, kuzalishwa, ususi lkn sio kuiongoza nchi
Bora umeitendea akili hasili na nafasi ya mwanamke, nchi siyo kamali ukaongoza kwa kuwezeshwa
 
Siyo mshtuko ilitakiwa ufe kabisa. We ni kipofu? huoni SGR, JNHP, KIGOGO-BUSISI, Uwanja wa ndege wa kimataifa Msalato-Dodoma, Miradi ya maji nchi nzima, usambazaji wa umeme nchi nzima na mambo mengine mengi mengi mengi sana siwezi kuorodhesha yote. Unafikiri yanajengwa na nini. Mjitu imebaki kulalamika tu haitaki kufanya kazi, we mpaka sahivi umeifanyia nini nchi yako umebaki kulalamika tu. Eti nimeshtuka ninilifikiri umeandika kutoka ahera maana mijitu km wewe haina ulazima wa kuishi.
Mnalazimika tu mjomba na ingekuwa ni kwa utashi mmeshakimbia site. Nyie hamna mnaloliweza kwenu kazi ni taarabu na michiriku na vigoma
 
Kijazi flyover..mfugale..barabara ya njia sita kimara to kibaha.

Niambie mahali gani kwa dsm kuna foleni hivi sasa...huoni hii imerahisisha hali ya maisha na kukuza uchumi ndani ya dsm.

Njoo upande wa hali ya maisha..kipindi cha jpm na sasa hali ikoje suala la vyakula..jpm alijua chakula hakitoshelezi akazuia kisitoke nje chakula kikawa jcha bei rahisi..hivisasa chakula hakikamatiki kwa bei.

Alikopa akafanya vitu vinavyoonekana...kwa masilahi ya watanzania sio hizi porojo zilizopo sasa unazojaribu kuzitetea...wakati unajua kabisa ni unafiki mtupu.

#MaendeleoHayanaChama
Flyovers ni miradi midogo sana, hata kuiongelea ni aibu.
Ungesema mradi wa maji Arusha labda huo ndiyo mradi mkubwa.
Sidhani kama unaelewa dhana nzima ya maendeleo. Yanahitaji pesa nyingi sana, siyo flyovers jaribu kutembea nchi zilizoendelea, hutamuona Biden anafungua flyover na bendi za polisi na hotuba .
 
Back
Top Bottom