Deni la Taifa: Kukopa sio tatizo, lakini tumefanyia nini huo mkopo?

W
Mshamba alishakufa na sasa tuna bon town kwani shida iko wapi?
 
Hahaha
 
Good Read
 
Hoid
Good Read
 

Kwa sasa deni lote ni 56% ya GDP kwa hivyo tukope zaidi halafu tuishie wapi? Kwa sasa deni zima ni Trilioni 91-94, sasa tukiendelea kukopa zaidi kwa hii miaka mitatu tutafika asilimia 70, ambayo ni hatari.
 
Kwa sasa deni lote ni 56% ya GDP kwa hivyo tukope zaidi halafu tuishie wapi? Kwa sasa deni zima ni Trilioni 91-94, sasa tukiendelea kukopa zaidi kwa hii miaka mitatu tutafika asilimia 70, ambayo ni hatari.
Unamaanisha nini tuishie wapi?
Tukope zaidi tujenge miradi mikubwa itakayotupa faida.
Kwani kuopa lazima nje? Trilioni 90 is peanuts kwa nchi ya watu milioni 67, yaani average ya deni ni milioni 1.5.
Wastani wa deni la nchi kwa kila mmarekani ni milioni 300 za kitanzania.

Hatuwezi kuendelea bila kuopa hela nyingi, nashauri deni liwe angalau trilioni 500.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…