Deni La Taifa La Kenya Ni Mara Mbili Ya Deni La Tanzania Na Mara Tano Ya Deni La Uganda

Deni La Taifa La Kenya Ni Mara Mbili Ya Deni La Tanzania Na Mara Tano Ya Deni La Uganda

Je uchumi wa Tanzania ni sawa sawa na wa Kenya au na Uganda? Tuangalie mishahara wanayolipwa watumishi wa umma Kenya na Tanzania vinawiana? Hata magari ywliyopo barabarani Kenya na Tanzania ni tofauti sana
 
unapimaje uchumi wa nchi?. Soda tunanunua kwa shilngi za Kitanzania 500, Kenya Soda ni Shilingi ngapi za Kenya ambazo ni sawa na shiliongi ngapi za Tanzania? tofauti yake na shilingi 500 za Tanzania ni kiasi gani?
Angalia hata mishahara ya watumishi wa umma mfano madaktari wa kenya na Tanzania hapa, pia angalia hata GDP yao na ya kwetu hapa, angalia exports zao na za kwetu hapa halafu uje uulize unapimaje uchumi
 
Hadi kufikia Septemba mwaka 2018, deni la Kenya linakisiwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 5.1, Deni la Tanzania likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 2.5 wakati Uganda deni lake likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 1

Kenya’s public debt doubles that of Tanzania, 5 times more than Uganda’s
Kiuchumi nani yupo juu? Hata hivyo wewe ukiwa unadaiwa 1000 lakini huna nyumba wala gari huwezi kujiona una nafuu kwakuwa jirani yako anadaiwa 2000 wakati ana nyumba tano za ghorofa na gari 5. Utakuwa ni mbumbu mzungu wa reli ulimwengu uko huku kama utashangilia na kujiona una nafuu.
 
Shilingi ya Kenya ni dollar ngapi? Linganisha na Shilingi ya Tanzania ni dollar ngapi. Angalia pia both pato la taifa la Kenya na Tanzania in dollars.
 
Muwache aweweseke ili aingize posho
Je uchumi wa Tanzania ni sawa sawa na wa Kenya au na Uganda? Tuangalie mishahara wanayolipwa watumishi wa umma Kenya na Tanzania vinawiana? Hata magari ywliyopo barabarani Kenya na Tanzania ni tofauti sana
 
Kwahiyo watoto wako wakikuuliza baba kwanini tunakula mlo mmoja unawaambia mbona jirani yetu baba flani wanae hata breakfast ni shida?
 
Nilitaka nikujibu lakini 1st comment imemaliza kila kitu.

Kama kichwa chako kigumu nikueleze kwa mfani.

Wewe kipato chako ni 1m kwa mwez. Dewij ni 100 kwa mwezi.

Unadaiwa 10m huku dewij anadaiwi 20m . Nani apo anadeni kubwa na nani apo deni lipo likely kulipika?
 
Elimu kitu muhimu sana, tatizo siku hizi imevamiwa na watu wanaoamua kwa makusudi kuiweka pembeni kisa maslahi au ushabiki wa chama.

Unapopata habari, unajaribu kuangalia na kupima mambo kadhaa yanayoizunguka na kuhusiana na hilo jambo.

Hoja sio ukubwa au udogo wa deni, hiyo mikopo imeleta tija kwa taifa kiasi gani?
 
Kiuchumi nani yupo juu? Hata hivyo wewe ukiwa unadaiwa 1000 lakini huna nyumba wala gari huwezi kujiona una nafuu kwakuwa jirani yako anadaiwa 2000 wakati ana nyumba tano za ghorofa na gari 5. Utakuwa ni mbumbu mzungu wa reli ulimwengu uko huku kama utashangilia na kujiona una nafuu.
Mbumbumbu mzungu wa reli.
 
Back
Top Bottom