Janken jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,125
- 1,180
hata uchumi wake ni mkubwa mara kadhaa dhidi ya danganyikalandHadi kufikia Septemba mwaka 2018, deni la Kenya linakisiwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 5.1, Deni la Tanzania likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 2.5 wakati Uganda deni lake likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 1
Kenya’s public debt doubles that of Tanzania, 5 times more than Uganda’s