kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
Acha kutumia report za zamani, from unreliable sources, tumia IMF na WB ndio wenye last say. Soma vizuri hii report ya WB ya 2017 na ulinganishe na report ya WB ya Kenya ya 2017.
Overview
Hii inaonyesha 26.8% Tanzanians below poverty line
Wewe acha kutumia maneno ya mitaani, tumia credible references.
Hii ni report ya 2017, ambayo imecover hadi 2016, hii ndio the latest report ya WB, ripoti ya 2018 haijatoka ambayo itacover up to 2017. Hiyo Nina kuhakikisha poverty level utakua below 24%.Hehehee wewe kwanza unatuletea data za 2015.Lete za 2018.poverty index
From now on stop comparing Kenya and Tanzania, lete ripoti ya WB kuhusu Kenya ya 2017 kama hiyo, uone jinsi wakenya mlivyo masikini, ninyi mnajazwa ujinga na media zenu mnadhani mnaweza kupambana na Tanzania, forget about that.Hio ripoti yako ya World Bank inasema kwamba 70% of Tanzanians live below $2.
Ambayo ndio the new international poverty line tangu 2015.
View attachment 940535
Majority of Tanzanians live under $1 per day compared to KenyansKenyans and this is a fact that you've kept denying even when statistics are open for you to see.Hii ni report ya 2017, ambayo imecover hadi 2016, hii ndio the latest report ya WB, ripoti ya 2018 haijatoka ambayo itacover up to 2017. Hiyo Nina kuhakikisha poverty level utakua below 24%.
From now on stop comparing Kenya and Tanzania, lete ripoti ya WB kuhusu Kenya ya 2017 kama hiyo, uone jinsi wakenya mlivyo masikini, ninyi mnajazwa ujinga na media zenu mnadhani mnaweza kupambana na Tanzania, forget about that.
Sasa unakataa nini, hii ripoti ya Kenya inaonyesha poverty level yenu ni 36% wakati Tanzania ni 26%, the same WB haiwezi kutumia vigezo tofauti. Never again compare Tanzania na failed state.Lol.
Makosa yako ni uzembe wa kusoma ripoti zenye wewe mwenyewe unaleta hapa.
World Bank yenyewe kwa hiyo ripoti umepost hapa, inasema kwamba 70% ya Watanzania wanaishi below the international poverty line.
Ni jambo gani lingine unahitaji kuskia.
Wewe mwenyewe umesema kwamba World Bank na IMF wana final say.
View attachment 940565
Ndio hii nayo ya Kenya.
World Bank wenyewe wamesema kwamba only 36.1% of Kenyans wanaishi chini ya $1.9 a day.
In summary:
Tanzania population below $1.9 a day - 70%
Kenya population below $1.9 a day - 36%
Nenda kasome hapa - Poverty Incidence in Kenya Declined Significantly, but Unlikely to be Eradicated by 2030
View attachment 940568
Sasa unakataa nini, hii ripoti ya Kenya inaonyesha poverty level yenu ni 36% wakati Tanzania ni 26%, the same WB haiwezi kutumia vigezo tofauti. Never again compare Tanzania na failed state.
Masharti ya ushoga hata wananchi pia wanaonekana kuyakubali. Kuna mada humu za watu wenye kulalamika kitendo cha serikali kuwa against na mashoga. Wengine wakinungu'nika kukosa misaada kutoka nje na wengine wakifurahia balozi wa Tanzania kuitwa na kujieleza kuhusu ilo suala... Kwaio serikali usiilaumu, anza na wananchi ambao wameterereka baada ya kusikia akina Sweden hawatotoa misaada kwa sababu Tanzania inakataa mashoga.hii ndiyo justification ya Tanzania kuendelea kutembeza bakuli tena hadi kwa kukubali masharti ya ushoga??
Hahahaha hahahahaha, roho inakuuma, ndio ujue Kenya is a failed state can't compete with giant Tanzania.Kenya - 36%
Tanzania - 70%
Go argue with yourself.
Hahahaha hahahahaha, roho inakuuma, ndio ujue Kenya is a failed state can't compete with giant Tanzania.
Vipi na uchumi wao ukoje kulinganisha na Sisi?Hadi kufikia Septemba mwaka 2018, deni la Kenya linakisiwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 5.1, Deni la Tanzania likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 2.5 wakati Uganda deni lake likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 1
Kenya’s public debt doubles that of Tanzania, 5 times more than Uganda’s
Hahahahahahahahaha, media zenu zinawadanganya na ninyi wenyewe mnajaa upepo mnakubali kuwa wajinga.
Hadi kufikia Septemba mwaka 2018, deni la Kenya linakisiwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 5.1, Deni la Tanzania likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 2.5 wakati Uganda deni lake likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 1
Kenya’s public debt doubles that of Tanzania, 5 times more than Uganda’s
Kwa hiyo na wewe umelipwa kuleta hiki kituko!!? Lumumba Fools Club (LFC) mnapokea hela ya bure kwa kweli. Hivi namiliki Gari la kusafirisha mizigo na ninadaiwa 600,000/- nilizokopa kununua tairi. Wewe unamiliki baiskeli unadaiwa 300,000 za chakula na matibabu na matengenezo ya baiskeli yako, ndo uanze kunicheka Mimi nina deni Mara 2 ya deni lako.?Hadi kufikia Septemba mwaka 2018, deni la Kenya linakisiwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 5.1, Deni la Tanzania likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 2.5 wakati Uganda deni lake likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 1
Kenya’s public debt doubles that of Tanzania, 5 times more than Uganda’s
Tanzania corruption 5%, Kenya 98%
Hadi kufikia Septemba mwaka 2018, deni la Kenya linakisiwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 5.1, Deni la Tanzania likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 2.5 wakati Uganda deni lake likikadiriwa kuwa Shilingi za Kenya Trilioni 1
Kenya’s public debt doubles that of Tanzania, 5 times more than Uganda’s
mara 10? nani kakudanganyaNa uchumi wao ni mkubwa sana na kuizidi nchi yenu mara 10
Kwanza punguza jazba kisha tupo kwenye point ya Kenya na Nigeria rationing their GDPs in relation to their national debts, Tanzania tulishaiweka kando sababu kwa hoja yako nchi yenye GDP kubwa inatakiwa kua na Big debt compared to the low GDP, baada ya kuangalia Nigeria ambayo sio tu bigger economy compared to Kenya lakini pia ndio African leading economy na imeipita hata baadhi ya nchi za Ulaya lakini bado ina deni dogo zaidi kulinganisha na Kenya.Kwaio unachotaka kusema ni kwamba uchumi wa Kenya na Tanzania ni sawa? Unaposema hakuna Gap la maana kwenye huduma za kijamii maana yake nini? Hio tofauti iliopo ndo inayofanya uchumi usiwe unafanana maana Kenya ni Capitalist Country wakati Tanzania haieleweki mara mixed economy mara ujima mara serikali inafanya biashara yani nchi haikp well defined
Gari ni ufahari kwenye nchi za ulimwengu wa tatu lakini huko kwengine saivi wamazikimbia gari sababu zaKwa nchi nyingi, gari ni necessity. Lakini LDC mnaifanya kuwa luxury, kwa sababu hamuwezi afford.
Nchini US, karibu 90% ya households zina gari at least moja.
Gari haionyeshi utajiri wa mtu binafsi, lakini kwa ujumla inaonyesha utajiri wa nchi.
Huyu mzungu ambaye unamsifia anaangalia investments na savings, already ako na gari kwa sababu ni necessity.