Deni la taifa Rais Samia vs Spika Ndugai

Deni la taifa Rais Samia vs Spika Ndugai

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Huu ni mjadala muhimu kwa taifa. Kama ni kweli Serikali ilikopa $1.5B kujenga reli kwa riba ya 8% kwa miaka 6 huu sio mkopo mzuri kabisa. Riba kwanza ni kubwa kwa serikali kwa sasa . Riba za mikopo ya serikali kwa uchumi huu inatakiwa kuwa 5% tena kwa miaka 20 sio sita. Nitarudi












Zitto , Mwigulu Nchemba
 

Attachments

  • IMG_4157.MOV
    10.2 MB
  • IMG_4158.MOV
    8.4 MB
Ndugai anapingana na mkuu wa nchi?haifai hii tabia.
Magu wasingemfanyia hivi
Tatizo CCM wote pamoja na Ndugai wao wote ni wanafiki watupu, kwa wadhifa alionao Ndugai wa kuwa sipika wa bunge rais hana ubavu wa kukohoa kwa Ndugai kwa kuwa bunge ni muhimili unaojitegemea hautakiwa kuingiliwa na muhimili mwingine, ila kwa sababu ya unafiki wa Ndugai na njaa zake amekuwa dodoki la kufyonza kila uchafu unaotoka kwenye muhimili wa serekali.
 
TOZO ni WIZI....!
Huku mtaani Mtu Akichukua kitu bila ridhaa ya Mwenyewe tunamwita mtu huyo kuwa ni MWIZI.
Tozo inavunwa bila kuitolea Jasho yaani bure bure tu,....Bila RIDHAA ya unayemchukulia..!
Unawezaje Kumlia Taiming Machinga,Mama lishe Kupora pesa yake kila Akifanya Muamala..!?
Haiwezekani kbs Eti Substitute Ya Mikopo iwe TOZO Kwa nchi Yenye utajiri Mwingi Kama Tanzania.
Naliona Taifa linaenda Kukwama...! 2025 inatisha Sana Kwa CCM ndo maana Ndugai Kaitaja.
Hasira Za Hawa Wanaoporwa Pesa Kwenye Tozo majibu 2025....!
 
😁😁😁
16407039515591.jpg
16407039395440.jpg
 
Watajitokeza wengi sio Serukamba tu kumshobokea Samia kwani Uchaguzi wa CCM uko karibu hivyo hawa wameanza kujipanga . Kumbukeni huyu Serukamba ni kundi la Lowassa na mwenzie Nchimbi ambae nae sasa amerudi hivyo wameisha anza kupanga safu zao ndani ya chama chao. Kujitokeza huku na kuwaita waandishi wa habari is not an accident ni katika mikakati yao; na wengi wataanzisha madarasa yao ya UONGOZI ngoja tusubiri. vijiclip vyao.!!
 
Ndugu ai amelewa madaraka vibaya sana sasa anaenda nje ya reli kabisa.
 
Haya ndiyo mambo anayoongea Mitch McConnell kila siku dhidi ya Joe Biden.
Tazama headlines za siku hizi:"Samia Suluhu katoa sh. nusu bilioni kuweka viyoyozi kwenye madarasa ya shule." We can't afford this. Hizi headlines utaona zinakuja moja baada ya nyingine.
Hii ndiyo speech pattern ya Mitch McCornell,ambaye ndiye Minority Leader katika Senate kwamba,"Huyu Joe Biden kwa nini anazidisha ukarimu? Kwa nini analeta Santa Claus behavior,kila wakati anataka atoe zawadi?'
Ukisema Spika analeta kimbunga Jobo kumuondoa rais,hayo ni maneno yako wewe. Spika anafa ya tu kazi yake halali.
Na rais hawezi kuondoka kwa remarks za mtu yoyote,no matter how clever the remarks. Kumuodoa rais you would have to do something different.
 
Serikali zinakopa.

1. Ila ni lazima kuwe na kiwango cha mwisho cha kukopa kutokana na hali ya uchumi wa nchi husika.

2. Pia kuna umuhimu wa kulishirikisha Bunge katika mchakato mzima wa kukopa, ili umuhimu wa mkopo huo upimwe kama kweli unahitajika kwa wakati upi na kwa kiwango kipi.

3. Miundombinu haiishi kutengenezwa na lazima kila awamu iwe na kiasi fulani cha bajeti ya miundombinu.

4. Ni hatari kiuchumi kwa kila awamu ya serikali kuja na bajeti kubwa sana ya miundombinu inayotegemea mikopo mikubwa ambayo mingine haina ulazima kutekelezwa katika muda huu.

5. Kuna haja sasa ya kuwa na mjadala wa kitaifa kuhusu dhana nzima ya kukopa na athali za deni la taifa kuzidi kuongezeka Kwa kasi kubwa.

6. Kama swala la katiba mpya litaendelea kutekelezwa, kuwekwe kanuni zitakazo dhibiti ukopaji uliokithiri.

7. Kwa sasa kama nchi hebu tupate mda wa kutulia na kutafakati kabla ya kuendelea kukopa tena.

8. Raisi Samia
 
Back
Top Bottom