Deni la Zanzibar ladhaminiwa kwa 73% na Tanzania

Deni la Zanzibar ladhaminiwa kwa 73% na Tanzania

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Mwenendo wa deni la Zanzibar

2017/18 - Bilioni 472.5

2018/19 - Bilioni 806.8

2019/20- Bilioni 824.5

2020/21 - Bilioni 887

2021/22 - Trilioni 1.2 https://t.co/YuSI0usKt4

Hawa watu sisi ndio twawadhamini ila wanatuletea kiburi na jeuri. Na hapo bado sisi twawapa zaidi ya Asilimia 4 kwenye kila mkopo.

Makusanyo ya Zanzibar ni Bilioni 285 kwa Mwaka

20230302_135148.jpg
 
Mwinyi na Samia wanaongoza kwa kukopa.

Serikali ya Zanzibar miaka iliyopita ilikuwa ikikopa Bilioni chini ya 30 kwa Mwaka, Mwinyi kakopa Bilioni 300 kwa miaka 2
 
Mwenendo wa deni la Zanzibar

2017/18 - Bilioni 472.5

2018/19 - Bilioni 806.8

2019/20- Bilioni 824.5

2020/21 - Bilioni 887

2021/22 - Trilioni 1.2 https://t.co/YuSI0usKt4

Hawa watu sisi ndio twawadhamini ila wanatuletea kiburi na jeuri. Na hapo bado sisi twawapa zaidi ya Asilimia 4 kwenye kila mkopo.

Makusanyo ya Zanzibar ni Bilioni 285 kwa Mwaka

View attachment 2534730
huo ndio maana ya muungabo
 
Back
Top Bottom