Denis Nkane, Supastaa mpya wa mpira Tanzania

Denis Nkane, Supastaa mpya wa mpira Tanzania

Huyu dogo hawezi kupewa heshima na shabiki wa upande wa pili unless angesajiliwa timu kama Azam ambayo wengi wetu tuko neutral.
 
Mbona husemi wafuatao Mwamnyeto,Kibwana shomari,Dickson Job,Yasin Mustapha wamepewa nafasi na wanakiwasha kwelikweli
Huyu Mwamnyeto anaweza akawa ndiye mlizi bora wa kati kwa hapa nchini kwasasa
 
huyo dogo media zimemkuza sana ila ni wa kawaida mnoo na siioni nafasi yake hapo utopoloni, mara kumi ungeniambia Tepsi Evans.
 
huyo dogo media zimemkuza sana ila ni wa kawaida mnoo na siioni nafasi yake hapo utopoloni, mara kumi ungeniambia Tepsi Evans.
Mawazo ya namna hii ndio yanakuletea kipara kabla ya muda.
 
vipi tena

D8C185FA-D845-42A8-AE1B-D23C6B8239C4.jpeg
 
Kabla ya yote namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia na kuniepusha dhidi ya usimba na uyanga. Mimi ni mpenzi michezo nafuatilia michezo mingi kwahiyo moja ya furaha yangu ni michezo.

Jana nilipata wasaa wa kutizama mchezo baina ya Taifa Jang'ombe dhidi ya Yanga mchezo ulikuwa mzuri sana ila kuna kijana anaitwa Nkane amenivutia sana. Huyo bwana mdogo ana sifa lukuki, nimependa uchezaji wake. Dogo ana nyumbulika ni hatari sana. Ila kuna baadhi ya mambo inabidi aweke sana naimani mwalimu ameyaona, ni jukumu lake kuyafanyia kazi pindi atakapo elekezwa.

Dogo akiendelea hiv hiv na akipunguza uswahili wetu naimani atafika mbali sana. Asante sana Yanga kwa kumpa nafasi.
Kweli utopolo hamjui mpira..sasa Nkane anajua mpira upi. Hana goli wala assist
 
Back
Top Bottom