Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania Denmark anasema kuwa wanataka kuhakikisha watu wao wako salama kwenye Dunia inayozidi kupoteza muelekeo wa kidemokrasia na HAKI za Binadamu.
Wameyasema haya baada ya kutoa tangazo kuwa watafunga balozi zao Tanzania.
Ikumbukwe kuwa Denmark imekuwa mdau mkubwa sana wa maendeleo ya Tanzania tokea uhuru kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo katika maeneo ya haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora,usalama, vita dhidi ya ugaidi,mapambano dhidi ya ukimwi na kadhalika.
Pia Denmark imekuwa ikitoa ufadhili wa Masoma kwa wanafunzi wa Tanzania.
Wameamua kufunga ubalozi wao Tanzania kutokana na mambo ya hovyo tunayoyashuhudia Tanzania sasa hivi kama vile uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu, ukandamizaji wa demokrasia, kukosekana kwa utawala bora, kukosekana kwa utulivu na usalama,ugaidi(fake) na kadhalika.
Hii maana yake ni kwamba misaada ambayo Denmark ilikuwa inaipa Tanzania kama nilivyoainisha hapo juu haitakuwepo tena.
Wa kulaumiwa katika hili ni hii serikali fake ya CCM ambayo haina kibali cha wananchi ambayo imefikia hadi hatua ya kutengeneza ugaidi fake ili tu kutengeneza uhalali wa kuendelea kubakia madarakani kwa mabavu.
Source: Denmark yatangaza kufunga ubalozi wake Tanzania
Wameyasema haya baada ya kutoa tangazo kuwa watafunga balozi zao Tanzania.
Ikumbukwe kuwa Denmark imekuwa mdau mkubwa sana wa maendeleo ya Tanzania tokea uhuru kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo katika maeneo ya haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora,usalama, vita dhidi ya ugaidi,mapambano dhidi ya ukimwi na kadhalika.
Pia Denmark imekuwa ikitoa ufadhili wa Masoma kwa wanafunzi wa Tanzania.
Wameamua kufunga ubalozi wao Tanzania kutokana na mambo ya hovyo tunayoyashuhudia Tanzania sasa hivi kama vile uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu, ukandamizaji wa demokrasia, kukosekana kwa utawala bora, kukosekana kwa utulivu na usalama,ugaidi(fake) na kadhalika.
Hii maana yake ni kwamba misaada ambayo Denmark ilikuwa inaipa Tanzania kama nilivyoainisha hapo juu haitakuwepo tena.
Wa kulaumiwa katika hili ni hii serikali fake ya CCM ambayo haina kibali cha wananchi ambayo imefikia hadi hatua ya kutengeneza ugaidi fake ili tu kutengeneza uhalali wa kuendelea kubakia madarakani kwa mabavu.
Source: Denmark yatangaza kufunga ubalozi wake Tanzania