Dennis Nkane atakuja kusumbua sana siku za usoni

Dennis Nkane atakuja kusumbua sana siku za usoni

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Miguel Gamond anasema Dennis Nkane anafaa kuwa beki wa pembeni ansye panda na kushuka na ameanza kumtrain kwenye hiyo position.

Jana dogo kaupiga mwingi sana, yani anakuzuia + kupiga soka burudani. Ni kama vile Professor Pacome anakufunga na kukupiga chenga, kanzu na tobo pia.

Natoa wito kwa Yanga kumlinda sana Dennis Nkane Manchester City wasije wakamchukua.
 
Miguel Gamond anasema Dennis Nkane anafaa kuwa beki wa pembeni ansye panda na kushuka na ameanza kumtrain kwenye hiyo position.

Jana dogo kaupiga mwingi sana, yani anakuzuia + kupiga soka burudani. Ni kama vile Professor Pacome anakufunga na kukupiga chenga, kanzu na tobo pia.

Natoa wito kwa Yanga kumlinda sana Dennis Nkane Manchester City wasije wakamchukua.
Simkubali
 
jana pasi zake zilinyooka. ni heri abadili hio namba awe beki wa pembeni huwezi jua atakuja kuwa bora sana kuliko kugombania namba za kiungo
 
Kweli kabisa naona atafanya vizuri mechi za CAF Champions League. Acheze zote
 
Back
Top Bottom