Deo Kisandu kafungwa jela?

Deo Kisandu kafungwa jela?

Majumba saba

Senior Member
Joined
Feb 1, 2019
Posts
145
Reaction score
610
Wakuu, kwema?
Nimemkumbuka mwamba Deo Kisandu na namna aliburudisha hapa jukwaani na ikabidi ni Google taarifa zake. Nimekutana na hukumu ya mahakama kuwa alifungwa miaka Saba jela kwa kosa la kumtukana mama yake kuwa ni mchawi baada ya kukatazwa kuuza kitanda alipo kuwa akiishi na mama yake kahama.

Natamani nikamsalimie, naomba mwenye taarifa za magereza aliopo atujuze.
 

Attachments

Jamaa atakuwa ameonewa, alipata changamoto ya afya ya akili, halafu wengi wetu humu tuliona dalili zote lakini tukashindwa namna ya kumsaidia zaidi ya kumdhihaki na kumcheka. Tulikosea sana.
Naunga mkono hoja, wanaJF tufanye namna ya kumpa msaada, kwanza wa kisheria na pili wa matibabu.
 
Wakuu,humu vichaa tupo wengi.Stress Ipo sana.JF to some extent imekuwa sehemu ya watu wenye matatizo ya akili na Access ya JF kuonsha dalili zao.Cha muhimu ni JF au Serikali au hata Taasisi binafsi kutafuta namna ya kuwa na Servic Line kwa ajili ya kushughulikia hiz Mental Cases
 
Wakuu, kwema?
Nimemkumbuka mwamba Deo Kisandu na namna aliburudisha hapa jukwaani na ikabidi ni Google taarifa zake. Nimekutana na hukumu ya mahakama kuwa alifungwa miaka Saba jela kwa kosa la kumtukana mama yake kuwa ni mchawi baada ya kukatazwa kuuza kitanda alipo kuwa akiishi na mama yake kahama.

Natamani nikamsalimie, naomba mwenye taarifa za magereza aliopo atujuze.
Kuna member alifungua thread kuulizia lakini hakuna jibu la maana alilopata.
 
Screenshot_20240825_122528_Adobe Acrobat.jpg

So sad, huyu jamaa alitakiwa apewe msaada. hakutakiwa kuhukumiwa Jela
 
Mmmmmmhmn ila familia za kiafrika bwana. Sasa hapo wanagombana kisa kitanda kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]

Kama mzazi angetumia tu hekima amuache auze hicho kitanda tuone.

Upande mwingine kijana na yeye alikuwa anafuata nini kwa mama yake na anaona hawana maelewano mazuri hata kidogo?

Muda mwingine ukiona maisha yapo kasi sana just kaa mbali na potential triggers za wendawazimu. Ukiona ukiongea na watu fulani wanakuchanganya then kaa mbali nao.

Ila amefanya makosa kumwita mama mzazi au hata mtu mzima mchawi. Sio jambo zuri kwa maana linafedhehesha.
 
Back
Top Bottom