Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwani amekufa?Don Namilison......alikuwa Msukuma bila shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani amekufa?Don Namilison......alikuwa Msukuma bila shaka
I don't buy the story, waulize waliokaa jela kama unaweza kuthubutu kumpeleka ndugu yako jelar kwa sababu yoyote ile.Jamii haipo informed.
Masikini mama yake, huyu mama kwa uzoefu wangu alikaa na ndugu wakaamua kumfungulia hii kesi kwa nia njema kabisa ya kumuokoa, kwa uzoefu nilio nao, itakuwa Deo alianza kuwa violent mtaani kiasi watu walishapanga kumfanya vibaya au hata kumuua kabisa.
Kitendo cha huyu mama kumfungulia hii kesi ilikuwa ni mkakati wake kumuondoa mtaani akafungwe akiamini huko atakuwa salama zaidi.
Kumuanzishia matibabu mgonjwa wa akili nchini Tanzania ni kati ya vitu vigumu sana kuwezekana. Mtu anakuwa violent mnaenda kumpeleka mnashangaa jioni au kesho yake wamemuachia na amerudi nyumbani, wakiwa wamemfungashia dawa. Labda uwe na connections otherwise ni ngumu sana mgonjwa wako kupokewa na kupewa huduma stahiki. Hivyo kwenye issue ya Kisandu ndipo wanafamilia hukutana na kujadili na ili kumuokoa na kuhakikisha ndugu yao anakuwa salama huona ni afadhali wamtungie hata kesi ili afungwe aondolewe mitaani maana huko watampoteza haraka sana.
Keako Dkt. Gwajima D tunaomba uliangalie hili pia, kuna mahala jamii inakwama. Shirikiana na Waziri wa Afya mtafute namna ya kuwasaidia watu wanaokumbea na changamoto za afya ya akili.
Unaweza usi buy thats okay, but mimi naelezea nilivyovishuhudiaI don't buy the story, waulize waliokaa jela kama unaweza kuthubutu kumpeleka ndugu yako jelar kwa sababu yoyote ile.
Wakuu, kwema?
Nimemkumbuka mwamba Deo Kisandu na namna aliburudisha hapa jukwaani na ikabidi ni Google taarifa zake. Nimekutana na hukumu ya mahakama kuwa alifungwa miaka Saba jela kwa kosa la kumtukana mama yake kuwa ni mchawi baada ya kukatazwa kuuza kitanda alipo kuwa akiishi na mama yake kahama.
Natamani nikamsalimie, naomba mwenye taarifa za magereza aliopo atujuze.
Cha ajabu wote ni/walikuwa waalimuEti alitamani awe mwanamke
Dead!
Ningekuwa na muhuri ningekwenda kahamaI real second you brother. Natamani hata wanasheria wetu humu wangejitoa kumsaidia. Yule ndugu anahitaji matibabu ya akili, angekaa sawa kabisa
Weka ushahidi jamani dahTulijibiwa humu kuwa alifariki na kuzikwa Mwanza
Wanaosema kuwa alifia gelezani??Alifukuzwa kazi mwaka 2017 nadhani na akashtakiwa kutukana mtandaoni Facebook, akafungwa miaka mitatu, 2020 alitoka ndio kafungwa tena 2022 miaka Saba kwa kumtangaza mama yake mchawi baada ya kikatazwa kuuza kitanda alocho kua analalia kwa mama yake