Deogratius Mahinyila Mwenyekiti wa Bavicha adaiwa kuandaa vijana kufanya vurugu kwenye Mkuano Mkuu

Acha vitisho vya kiccm.
Anyway tunajua Mbowe anapiganiwa na ccm ili chadema aifanye kuwa CCM B
Shauri yenu,
Hashtag hazitoi mtu jela au kaburini..

Mwambieni dogo aangalie Dr Slaa mashuhuri na uzee wake alipo
 
Hii imebuma mbowe lazima dawa ainywe akizingua atalazimishwa hata kwa kufungwa kamba
 
Kwani wananchi walipoamua kuipuuza chadema ni sababu ya tabia zao za kunywa viroba na kuvuta bhangi na vurugu haya hata kiti cha ofisi hajakalia wala mlango hajafungua keshavuta ugoro!
 
Acha vitisho vya kiccm.
Anyway tunajua Mbowe anapiganiwa na ccm ili chadema aifanye kuwa CCM B
Mjinga huyo. Hajui kuwa upinzani imara ni jambo la muhimu katika nchi. Ana akili za za Samia za kutuma mtoto ahonge wapinzani. Hajui madhara yake. Waache tu, wadhani CHADEMA ikifa wataishi maisha ya amani kumbe ndiyo hali itazidi kuwa mbaya.
 
Mbowe hatakiwi, anang'ang'ania nn madaraka,huyu mzee wa machame vpp???.
 
Team Mbowe upuuzi mfanye nini, halafu mtake kumchafua Lissu.

Kuna video inaonyesha team Mbowe wakituhumiwa kutaka kuingiza kura fake kwenye mkutano wa BAWACHA.
 
Kuna kila dalili mtoa mada amepaniki, na hata haamini kinachotokea kwa kamanda wake Mbowe.
 
Dogo kajaa upepo wa akina Maria
 
Alfajiri kesho napenda gari kuja daslam kuhakikisha lisu haibiwi kura
 
Vijana wasipo ongozwa na kuoneshwa njia sahihi huishia jiani.

Vijana wanahitaji mtu musthimilivu kama Mbowe. Siasa za Lissu zitawachosha na kuwapoteza mapema sana.
CCM mbona mnavuruga??
 
Naona wahuni wa CHADEMA mmeshikwa pabaya.Msiingilie majukumu ya BAVICHA, Tulieni kijana afanye majukumu yake
Majukumu yake ndio kuchochea vurugu? Kama ni lazima Lissu ashinde basi hakuna haja ya uchaguzi. Inaelekea baada ya lengo lao la kumfanya Mbowe asigombee sasa wameamua kuleta vurugu.

Amandla...
 
Kwa huu uandishi wako, wewe kumuelewa huyo Wakili ingekuwa maajabu!
 

Huu ndio ukweli
 
Acheni uzushi.
Janja kashinda kazi Iendelee.
 
The medicine for 🔥 is 🔥
CCM wanahitaji kupelekewa moto na si vinginevyo.
CCM ndio wamepanga kuvuruga uchaguzi kwa pesa za umma, hivyo lazima wadhibitiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…