Deogratus Kithama wa Nirvana EATV Karudi tena

Deogratus Kithama wa Nirvana EATV Karudi tena

Sasa huyo jamaa ana wavutia nini nyie wadada wa JF.. mkituona si wengine sindiyo mtanasa kabisa... hahaa!! Promo at wrk
 
Comment yako ina uhusiano gani na hii thread?
ule mdomo alivyoutengeneza kwenye ile picha, hata mwanamke huwa hatengenezi mdomo kama yeye. ni ulimbukeni na ushamba wakati mwingine nafikiri.
 
80b0deb5904868853eddb21c1ccc8ad5.jpg


Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app

Huyu Mustafa Hasanali amepatwa na nini tena ? Ule ubonge umeisha kwa diet au yake mambo mengine ya duniani? Duuuuh!!!
 
b

boss mbona unajitoa ufaham jamaa anachojaribu sema deogratius kithama anatabia za kishoga na ashawahi zushiwa ni mchicha pori
Tumshukuru Mungu hakutupa kazi ya kuhukumu. Otherwise sijui ingekuwaje..
 
Mtaalam jamaa huyu namjua vizuri sana. Inshu ya undigili walimzushia tu. Kile kipindi lazima utangaze kwa swaga flan zakuvutia warembo ndio maana mkamwona jamaa yupo vile.

Nashangaa hawamshangai Joti hadi anajiita Bi Kiboga ,lakini hajawah zushiwa upunga
 
watz bwanaa MTU humjui,wala hakuhusu kikeni au kiumeni lakin mapovu yanawamwagikaa utasemaa anakulaaa kwenu au kwako jifunzeni kufanyaaa mambo yenu acheni kufatiliaaa watu kama shogaa anawahusu nn?akitoaaa tigo si yake au ashaombaa MTU amshikiee mguu wakati analiwaaa yaaan MTU anajifanyaa anamjuaa MTU kuliko MTU anavyojujaaa mwache MTU afanye kile kitu roho inapendaaa ww kama hupendi lindaa familia a yako na wanao otherwise pambaneni na hali zenu mxiewwww
 
Nimegundua kupitia uzi huu Deo alikuwa anakubika na ana kubalika sana..
 
hahahahaha huyu jamaa anajua sana kutangaza.....fashiooon
 
Ntaanza kuangalia kipindi hiki tena

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Back
Top Bottom