Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ule mdomo alivyoutengeneza kwenye ile picha, hata mwanamke huwa hatengenezi mdomo kama yeye. ni ulimbukeni na ushamba wakati mwingine nafikiri.Comment yako ina uhusiano gani na hii thread?
![]()
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Tumshukuru Mungu hakutupa kazi ya kuhukumu. Otherwise sijui ingekuwaje..b
boss mbona unajitoa ufaham jamaa anachojaribu sema deogratius kithama anatabia za kishoga na ashawahi zushiwa ni mchicha pori
Mtaalam jamaa huyu namjua vizuri sana. Inshu ya undigili walimzushia tu. Kile kipindi lazima utangaze kwa swaga flan zakuvutia warembo ndio maana mkamwona jamaa yupo vile.
mkuu umejuaje?Bwabwa
Sent from "La -Vista"
Wengi wanampenda....Kumbe mlikuwa mnamponda huku mnampenda, nimegundua kumbe wanaume wengi humu ndio mashabiki wa kile kipindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana...ila Rayc amezeekaJamaa anajua
Sana...ila Rayc amezeeka
Mbona sio mingi hiyo? Kwani Jide ana mingapi?36 c mchezo kwa mwanamke
Kila nimsikiaga akilitaja hilo neno "fashioooooon" najisikia kucheka mbavu sinaMzee wa fashioooonnn
Post sent using JamiiForums mobile app