MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Wakubaliane mapema angalau hadi june 2019 tuone AJ vs Wilder.
Wilder mkono wake wa kulia ni hatar sema pumz inakata mapema akienda raund nyingi
Huyo Wilder ndio watu walikuwa wana msifia eti anaweza kumpiga AJ hahahahahahahahaha
Bora Hata Furry Kidogo, Huyu Wilder Anarusha Makonde Kama Yule Mwakinyo Wa TANGABaada ya kuangalia pambano la jana nimeona wilder na fury hamna anayeweza kumpiga AJ
Mpe Fury heshima yake.Baada ya kuangalia pambano la jana nimeona wilder na fury hamna anayeweza kumpiga AJ
Mpe Fury heshima yake.
Hata wakipigana na AJ nna hakika AJ atapata shida kuendana na style ya Tyson.
Tusubirie kwanza AJ Vs WILDER then kitakachofuata ni Tyson Vs AJ.
Mpe Fury heshima yake.
Hata wakipigana na AJ nna hakika AJ atapata shida kuendana na style ya Tyson.
Tusubirie kwanza AJ Vs WILDER then kitakachofuata ni Tyson Vs AJ.
Haaaaaahaaaaa mm simkiubali kishenzi hyu tyson koko!Nimemuona tyson bila shati nikajiuliza hivi boxing ndio imefikia hapa?