Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Tarehe kama ya leo, miaka kadhaa...iliyopita malaika walishangilia kwa ajili ya dada na rafiki yangu mpendwa kuzaliwa.
Leo unapoikumbuka siku hii muhimu na ya kipekee katika maisha yako, napenda kukutakia baraka tele, mafanikio, furaha na upendo katika maiaha yako. Ni maombi yangu kwa Mungu akubariki kwa kila kazi na Neema zake Mungu zikufunike siku zote za maisha yako..Amen
Karibuni familia ya jf tumtakie Depal
Baraka na heri katika siku hii muhimu kwake
Mshana Jr
Joanah
Depal usisahau kuweka na ya wakala hapa utumiwe keki na wine [emoji28][emoji28][emoji28]
Leo unapoikumbuka siku hii muhimu na ya kipekee katika maisha yako, napenda kukutakia baraka tele, mafanikio, furaha na upendo katika maiaha yako. Ni maombi yangu kwa Mungu akubariki kwa kila kazi na Neema zake Mungu zikufunike siku zote za maisha yako..Amen
Karibuni familia ya jf tumtakie Depal
Baraka na heri katika siku hii muhimu kwake
Mshana Jr
Joanah
Depal usisahau kuweka na ya wakala hapa utumiwe keki na wine [emoji28][emoji28][emoji28]