Depression inanimaliza, sina muda mrefu wa kuishi

Depression inanimaliza, sina muda mrefu wa kuishi

Yedidiahh

Member
Joined
Dec 17, 2024
Posts
22
Reaction score
42
Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.

Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
 
Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.

Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Pole.una mpenzi?
 
Pole sana, anza program ya kufanya mazoezi ya viungo na wengine kila siku asubuhi na jioni.

Acha tabia ya kujifungia pekee yako ndani kwa muda mrefu.

Baada ya hapo, usipende kusikiliza nyimbo zenye hisia kali wala kuomboleza, bali pendelea nyimbo za kusifu zilizochangamka.

Fanya hayo kwa muda wa siku 14 hadi 21 mfululizo utapata nafuu kubwa au utapona/kuelekea kupona tatizo lako.
 
Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.

Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Pole sana Yedidiahh.
Bila shaka huo msongo wa mawazo una sababu. Ili usaidikie nivyema utafute mtu mfano viongozi wa Imani yako uongee nao. Lakini pia epuka kukaa pekeyako. Jitahidi uwe karibu na ujichanganye na watu wanaokupenda. Sio unaowapenda. Itakusaidia.
 
usingeacha kutumia hizo dawa ukiacha nikama umejiroga, baadae utaanza kuona vitu visivyo na uhalisia na kuanza kukimbia tumia dawa br utakuwa sawa ,chukia sana mtu au kitu kinachokusababishia depression maana unaweza tumia hata miaka 7 unameza tu vidonge
 
Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.

Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Nini source ya shida hiyo mkuu
 
Back
Top Bottom