Depression Itaniua

If it is serious mkopo wa mfanyakaz hauwez uza nyumba dhamana yake ni ajira
 
Kwanza pole ila nenda bank elezea situation uliyoko nayo.
 
Stay Strong....

When You I start feeling sick of it all,
It helps you remember your a brick in a wall, who runs down from the hillside to the sea, when you start feeling that it's gone too far, lie on your back and stare up at the stars, Wonder if they're staring back at You.
 
Pole sana mkuu...What does kill you makes you strong...tulia usifanye papala...
 
Huu sasa ndo ushauri wa mwanamume na sio mwanaume. Kabisa kwenye misukosuko ni muhimu kuusikiliza moyo wako na Mungu tu na sio kuwayawaya na ushauri,utapotea. Situation hiyo mm ni witness.
 
Mkeo amekaa tu au ni wale wa nasubiri ugali wa mume

Polen sana wanaume mnaopitia magumu wakati mna wake ndani
 
Pole Sana tofauti yako na Mimi ni namna ulivopata mkopo dhamana yako ni ajira Mimi niliweka nyumba Kama dhamana ya mkopo kilichofata niliangukia pua mkopo wa tatu madalali wa bank walinisumbua mnoo ikafika hatua nakoswakoswa kugongwa na gari barabarani nawaza marejesho,wife akarudi kwao na mwanangu mzuri mmoja binti yangu nikabaki mwenyewe ilikuwa ijumaa saa kumi na nusu nikasikia gari la matangazo wanatangaza nyumba yangu nilitetemeka nilipokuwa maana nilikuwa najua Kila kitu usiku huo huo liliandaliwa zuio la mahakama jumamosi saa tatu washaweka meza wanataka kuuza nyumba na majirani wamezunguka kushangaa mnada madalali wakaambiwa branch manager nmb kasaini wito wa mahakama tayari hakuna kuuza nyumba inazuio la mahakama kuanzia siku hiyo sikusumbuliwa na simu wala vitisho vya madalali wa bank kesi ikaenda mahakama ya ardhi mwanasheria akasimamia Mimi nikapata chance ya kuja dar kutuliza ubongo nikapata gepu mda huu nalipa kidogo kidogo wife nishamrudisha na binti yangu napambana wao wapo kwenye nyumba yetu yenye zuio la mahakama napambana tuu japo haikuwa rahisi
Ombi, usiuze nyumba yako kizembe
 
Hajafukuzwa kazi ameresign 24hrs
Whether ume resign ama umefukuzwa kazi ni wajibu wa insurance kulipa.

Kwani wakati anachukua mkopo kuna mahala walikubaliana asiache kazi ama kufukuzwa ndani ya muda flani?

Insurance kazi yake ni kumlinda mtoa mkopo dhidi ya hali yoyote itakayojitokeza hapo mbele.

Ndio maana kabla bank hawajakupa mkopo kwanza wanafanya credit profiling and credit worth ness yako kuona kama they can take the risk of lending you their money.

Hakuna bank inakupa mkopo kwa kuamini kwamba hutaacha kazi ama. Hakuna imani hapo.

So ni wajibu wa bank kujilinda ama kulinda pesa yao kwa hali yoyote itakayojitokeza huko mbele.

Kusema kwamba bima haikingi kuacha kazi ni sawa na useme unakata bima ya gari lakini unakinga dhidi ya ajali ya kugongwa na fuso ila ajali nyingine sawa tu.
 
Kama ulichukua Mkopo Bank kwa Udhamini wa Mshahara wako iweje Bank waje wauze Nyumba yako??Dhamana yako wewe ni Ofisi ndio iliyokudhamini hivyo Bank hawawezi kuwa na Hati ya Nyumba yako
Mikopo ya hivyo ipo inaitwa personal loan unaweka collateral Nyumba Yako lakn mshahara wako ndo marejesho.Kwa kifupi Ofisi Yao haikuzamini hyo mikopo .

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kama ulichukua Mkopo Bank kwa Udhamini wa Mshahara wako iweje Bank waje wauze Nyumba yako??Dhamana yako wewe ni Ofisi ndio iliyokudhamini hivyo Bank hawawezi kuwa na Hati ya Nyumba yako

Muwe mnasoma na kuelewa kwanza acha mihemko.
 
Umejificha kwa codes ila tumeshakujua .

Si uliacha kazi kwa mbwembwe na kiburi sasa unakuja kulialia humu nini? Ngoja sasa watu waanze kukugongea mkeo ndo utajua hujui halafu ule mpango wa kujifanya kushindana na majirani zako kimaisha ni ubwege wa kittoto psmbana fwala wewe na bado utaomba poooh.
 
Wewe hao bank achana nao ofisi yako ndio mdhamini watamalizana wenyewe wewe focus kwenye mambo ya msingi sasa
 
Ulikopa Kwa dhamana ya mshahara na sasa ile kazi umeipoteza hivyo huwez kurejesha mkopo aidha hiyo bank Haina Cha kukufanya maana ile dhamana haipo tena.wewe huna tofauti na walotumbuliwa vyeti feki.wew jutuluze waeleze huna uwezo wa kulipia..watakusumbua tu ila hawana Cha kukufanya so tulia jipange vizuri ndo maana mikopo hukatiwa bima ni hasara yao
 
Kwa nini u resign bila kufukuzwa Kazi? Hukujua yajayo kuwa hayafurahishi?

Mkuu jiajiri tuu na pole Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…