Depression Itaniua

Tuseme tu pole.

Mikopo ya benki inatesa sana, kwa hii miezi ambayo hujapeleka rejesho riba ya adhabu itakuwa imeshapaa.

Ungeweza uza hiyo nyumba ulipe deni la watu, kiasi kinachobaki kikusogeze, pole
ushauri wa hovyo mkopo wa mshahara hauuzi dhamana yoyote bwana GT relax wambie benki ulichokuwa unakitegemea niu mshahara ambao huna ...usiuze nyumba kwa ajili ya kulipa mkopo pia usiogope kuwekwa kwenye blacklist relax brother
 
Pole sana mkuu, endelea kutafuta kazi sehemu mbalimbali, cha msingi usiuze nyumbani bora ukaze hivyo hivyo tu mtaan mambo yatabadlika mbele kwa mbele.
 
Kwanza pole lakini kwa mtazamo wa baadhi ya thinkers kuwa nyumba yako haipo kwenye risk naona kuna ukakasi, hivi ofisi yako ilijulishwa kuwa salary yako ndio dhamana ya huo mkopo ? Na endapo ungepunguziwa mshahara hadi kiwango cha robo hiyo bank wangekusanya vp marejesho yao na wewe ungeishije ...inaonesha uliachishwa kazi na bilashaka ulifanya makosa makubwa tuache hilo lakini ushauri wa kuuza hiyo nyumba upo positive zaidi ila kabla ya jaribio la kuiuza Waone wanasheria wa mambo ya fedha wakupe ushauri mzuri pia tubia hilo kosa lililosababisha ukaachishwa kazi Mungu ni wa msamaha usiwe na shingo ngumu .
 
Dah mkuu utamfanya mtu ajiue jamani.
Kwa Leo mpunguzie maneno makali ni binadam mwenzetu
 
Dah mkuu utamfanya mtu ajiue jamani.
Kwa Leo mpunguzie maneno makali ni binadam mwenzetu
Jinga hilo acha likufe tu mimi nshaligundua japo linajificha unaacha aje kazi kwa sabqbu ya mwajiri kukuhamisha kituo? Hiyo ni akili ngoja mkeo aanze uliwa na wajanja ndo utajuahujui fwala wewe unaenda uwatesa watoto bure kwa sababu ya ubwege wKo .
 
Pole sana mkuu, ninayo picha ya unayoyapitia.
Ninayo mawili tu la kukushauri;
1. USIUZE NYUMBA. Hii usiifanye kwa ajili ya kulipia mkopo wala kuanzishia viashara, najua familia inakuangalia wewe lakini Mungu yupo utapata mlango wa kutokea katika hili zito.
2. Endapo benki watakupeleka mahakamani na wakataka kuuza nyumba yako nipigie ama nicheki PM nitakusaidia kukupa mbinu za kuwasumbua hadi watakata tamaa wenyewe kuipata hiyo nyumba. Ni mbinu za kisheria tu hawataambulia chochote.
So usije ukauza nyumba ukiogopa kuwa itachukuliwa na benki, relax waache familia yako waendelew kuishi na wewe endelea kukomaa.
 
Mkuu naomba kuku uliza,kwasasa hauna kazi unayofanya najua unatamani kufanya kazi

upate chochote kitu ili maisha yaende,naomba kujua hapo ulipo unatamani kupata kazi

ya kukupa kiasi gani kwa mwezi (ikitokea mtu anakuajiri),hebu niambie nijue unatamani

malipo ya kiasi gani kwa mwezi,huwezi jua kuna mtu yupo humu anatafuta Mfanyakazi ila

anashindwa kukwambia maana anahofia labda unataka malipo makubwa,be free kuwa muwazi

sema posho unayoifikiria itakutosha, isiwe chini ya kiasi gani kwa siku au kwa mwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…