Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
ushauri wa hovyo mkopo wa mshahara hauuzi dhamana yoyote bwana GT relax wambie benki ulichokuwa unakitegemea niu mshahara ambao huna ...usiuze nyumba kwa ajili ya kulipa mkopo pia usiogope kuwekwa kwenye blacklist relax brotherTuseme tu pole.
Mikopo ya benki inatesa sana, kwa hii miezi ambayo hujapeleka rejesho riba ya adhabu itakuwa imeshapaa.
Ungeweza uza hiyo nyumba ulipe deni la watu, kiasi kinachobaki kikusogeze, pole
hii nayo ID yako nyinginem kweli depression haina adabuMkuu, naendelea kusoma tu ushauri hivyo usione nipo kimya napitia mawazo na michango yenu ili nichague upande ulio sahihi zaidi.
i love youUsijiue tafadhali. Ni pm number yako.
vhenui huu upuuzi wa kuuza nyumna hivi mnajua mfuko wa cement umefika 30000Poleni I feel what you go through
Uza nyumba then upange eneo cheap then Jitose kwa Biashara yenye mzunguko hope utatoboa vizuri.
aende benki kufanya nini nyie maafisa mikopo acheni kumdanganya aende benki kufanya nini waende kwa mwajiri wake.....Kwanza pole ila nenda bank elezea situation uliyoko nayo.
Kwanza pole lakini kwa mtazamo wa baadhi ya thinkers kuwa nyumba yako haipo kwenye risk naona kuna ukakasi, hivi ofisi yako ilijulishwa kuwa salary yako ndio dhamana ya huo mkopo ? Na endapo ungepunguziwa mshahara hadi kiwango cha robo hiyo bank wangekusanya vp marejesho yao na wewe ungeishije ...inaonesha uliachishwa kazi na bilashaka ulifanya makosa makubwa tuache hilo lakini ushauri wa kuuza hiyo nyumba upo positive zaidi ila kabla ya jaribio la kuiuza Waone wanasheria wa mambo ya fedha wakupe ushauri mzuri pia tubia hilo kosa lililosababisha ukaachishwa kazi Mungu ni wa msamaha usiwe na shingo ngumu .Habari za leo wana GT.
Niende kwenye hoja ya msingi.
Kwa utambulisho huu mimi si mgeni humu ila ID nliyotumia ni mpya niliona nifungue hii ili nisiwezekujulikana na wanaoifahamu ID yangu iliyozoeleka hasa mke wangu.
Kwa hakika hapa nilipo nina msongo wa mawazo unanisumbua na ninahisi ninapoelekea sio pazuri, Miaka mitano nyuma nilichukua mkopo kwenye bank moja hivi hapa nchini. Huu mkopo nilichukua kwa udhamini wa mshahara wangu wa kipindi kile.
Kuna jambo lilitokea ofisini hivyo ilinibidi ni resign ndani ya 24hrs hivyo sikupata chochote pale ofisni, (hii nitakuja kuisimulia siku nyingine) lakini nilijipa moyo kuwa maisha hayatonisumbua kwa vile ile pesa nilianzsiha miradi mbalimbali.
Lakini bila kujua kuwa sina uzoefu na usimamizi wa hii miradi yangu niliingia kichwa kichwa mambo yalianza kwenda mrama. Miradi iliyumba mingine niliifunga ilinibidi niuzie gari yangu niweze kusimama tena , lakini bado kama vile nilijiongezea dhiki tu.
Sasa nina miezi 10 sijapeleka rejesho la bank, na bank wanapiga simu sana mpaka waliniambia nijitahidi niweke chochote kile ili nisiwekwe kwenye blacklist. Watoto wangu nimewarudisha shule za Kayumba, hela ya kula imekuwa changamoto kiasi kwamba natamani hata kufa ili nisione hawa watoto wangu wanavyoteseka.
Nafikiri niuze nyumba hii moja niliyobaki nayo ili tu nijaribu tena bahati yangu kwenye biashara zingine lakini nahofia hiyo biashara ikifilisika hawa watoto nitawaweka wapi.
Hofu kubwa niliyonayo ni hawa watu wa hii taasisi ya bank nao wasije wakaniuzia nyumba yangu maana nimeshavurugwa mpaka kila ninalowaza naona haliwezekani.
Kwa upande mwingine naendelea kutafuta kazi nimeshafanya interview sehemu nyingi tu lakini sijabahatika kuitwa, miezi mitatu iliyopita interview yangu ya mwisho niliambiwa nitaitwa kwa ajili ya kuanza kazi mwezi wa saba au wa nane. Lakini mpaka sasa hivi sioni faraja yoyote ile ya kuitwa kwenye hiyo taasisi ya kimataifa.
Wana GT naomba neno la faraja kutoka kwenu nifanyaje ili niweze kumudu hizi heka heka za maisha na hasira za watu wa bank wasije kunipeleka mahakamani na kunifilisi.
Elli yupi huyoPole Elli
OYA KATAA KUBALI.
KUNA MPUUZI YUKO NYUMA YA MAISHA YAKO ANAKUROGA
Dah mkuu utamfanya mtu ajiue jamani.Umejificha kwa codes ila tumeshakujua .
Si uliacha kazi kwa mbwembwe na kiburi sasa unakuja kulialia humu nini? Ngoja sasa watu waanze kukugongea mkeo ndo utajua hujui halafu ule mpango wa kujifanya kushindana na majirani zako kimaisha ni ubwege wa kittoto psmbana fwala wewe na bado utaomba poooh.
Nakadori habariDah mkuu utamfanya mtu ajiue jamani.
Kwa Leo mpunguzie maneno makali ni binadam mwenzetu
Depression mbaya sana omba isikukute hapo kweli angeenda kwa washauri watamsaidiaPole. Ngoja waje kukushauri mkuu
Jinga hilo acha likufe tu mimi nshaligundua japo linajificha unaacha aje kazi kwa sabqbu ya mwajiri kukuhamisha kituo? Hiyo ni akili ngoja mkeo aanze uliwa na wajanja ndo utajuahujui fwala wewe unaenda uwatesa watoto bure kwa sababu ya ubwege wKo .Dah mkuu utamfanya mtu ajiue jamani.
Kwa Leo mpunguzie maneno makali ni binadam mwenzetu
Nakadori habari
Nakadori habari
Marahaba sijakuona kitambo ulijichimbia wapiNzuri shkamoo shetwain
Marahaba sijakuona kitambo ulijichimbia wapi