Derby ya leo FT 1:1. Yanga ikitangulia na Baleke kusawazisha

Derby ya leo FT 1:1. Yanga ikitangulia na Baleke kusawazisha

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Yanga atatangulia kumfunga Simba Leo, baadaye Baleke ataisawazishia Simba.

FT. Yanga Vs Simba 1:1.

Nipo paleee
 
Utabiri wako ungekuwa YANGA atatanguliwa kufungwa kisha akasawazisha kidogo ningekubali.

Iko hivi, kama YANGA atatanguliwa kufungwa ujue ATASAWAZISHA.

KAMA SIMBA atatanguliwa kufungwa , ujue atafungwa zaidi.

Kwanini?

Kitendo cha Simba kutanguliwa kufungwa kisha wakaamua kufunguka ili wasawazishe itakuwa ni KIAMA .
 
Utabiri wako ungekuwa YANGA atatanguliwa kufungwa kisha akasawazisha kidogo ningekubali.

Iko hivi, kama YANGA atatanguliwa kufungwa ujue ATASAWAZISHA.

KAMA SIMBA atatanguliwa kufungwa , ujue atafungwa zaidi.

Kwanini?

Kitendo cha Simba kutanguliwa kufungwa kisha wakaamua kufunguka ili wasawazishe itakuwa ni KIAMA .
Tusubiri
 
Back
Top Bottom