Dereva bodaboda auawa akidaiwa kuiba mayai matatu

Hizi issue za uswahilini pasipo uchunguzi wa kina mnaweza kupotezwa pasipostahili kupotezwa. Kiufupi profile ya kijana ijulikane na hali ya wizi kwa huo mtaa ijulikane.

Sihalalishi chochote kilichotokea lakini mara nyingine, wizi ukiwa mwingi maani pasipo kukamata yoyote, siku akijichanganya mtu hata kwa bahati mbaya lazma afanywe wa mfano
 
Daah, mayai tu na unaua mtu na wapo watu wanatembea kwenye viyoyozi vya V8 na wameiba mabilioni na mabilioni
 
Hata kama ni mwizi mayai3!
  • Inawezekana angetenda maasi zaidi ya hayo, mwizi kuingia sehemu usiku anaweza kukuua.​
  • Tusiangalie alichochukua kwa sababu aliwaiwa, kama yeye (mwizi) angewawai si ajabu angeangamiza hiyo familia.​
  • Kwa kifupi wizi/ujambazi si kitu kizuri; asiyefunzwa na mamaye ufunzwa na ulimwengu.​
 
Maeneo yenye uchawi na ushirikina bei ya mayai viza ni Sawa na bei ya mayai ya kawaida.
Dunia ina mambo hii bado kuyajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…