Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna sehemu isiyo na utapeli. Ukiogopa changamoto huwezi kusogea mbeleNdio maana me hela zangu mbuzi natumbua maana ukijifanya unataka kuwekeza kwenye ardhi unakula za uso kama hivyo. Acha tule tu kwanza dunia yenyewe ni wapitaji tu cha kufia nini.
Ngoja nikupe mwanga. Anakwenda MTU pale maeneo ya serikali za mitaa anamuhuri wa michongo, wakati muuzaji anskupeleka pale ofisini yule mtumishi feki anajitokeza , wanasalimiana fresh halafu wanakuambia wanaokoa muda, muhuri anao mfukoni haina haja ya kuingia ofisini, anatokea mzee mwingine wa michongo Kama shahidi, hao wote watatu sio watu wa Kibaha Ni watu wa Dar, unakwenda kuonyeshwa shamba la MTU mwingine, kule shambani unakuta Kuna mtu na mkewe wa michongo wanakuhakikishia kwamba wanapakana na muuzaji na Ni ndugu Yao. Kumbuka wote hao Ni watu wa Dar, wamekwenda ili ujiridhishe. Unauziwa eka kwa milioni , mkataba feki na mihuri mingi unapewa, kibaya zaidi unaambiwa ulipe 10 percent ya Bei kwenye ofisi ya serikali ya mtaa lkn kwa kua wote wako pale shambani wanakuambia mmalize kila kitu kule kule shambani. Unatoa pesa na kila mtu anayeyuka.Sasa Mwenyekiti wa serekali ya mtaa anakuwaje wa mchongo!? Inamaana serekali kuu haijui hilo!!??
Basi mmepigwa na middle men wenu mlie mpaa kazi ya kutafuta Aridhi, yeye ndiyo chanzo cha nyininyi kupigwa na mchongo wote alikua anaujua,sema nyinyi mnamuamini sana! Katumia trust kuwapiga!!Ngoja nikupe mwanga. Anakwenda MTU pale maeneo ya serikali za mitaa anamuhuri wa michongo, wakati muuzaji anskupeleka pale ofisini yule mtumishi feki anajitokeza , wanasalimiana fresh halafu wanakuambia wanaokoa muda, muhuri anao mfukoni haina haja ya kuingia ofisini, anatokea mzee mwingine wa michongo Kama shahidi, hao wote watatu sio watu wa Kibaha Ni watu wa Dar, unakwenda kuonyeshwa shamba la MTU mwingine, kule shambani unakuta Kuna mtu na mkewe wa michongo wanakuhakikishia kwamba wanapakana na muuzaji na Ni ndugu Yao. Kumbuka wote hao Ni watu wa Dar, wamekwenda ili ujiridhishe. Unauziwa eka kwa milioni , mkataba feki na mihuri mingi unapewa, kibaya zaidi unaambiwa ulipe 10 percent ya Bei kwenye ofisi ya serikali ya mtaa lkn kwa kua wote wako pale shambani wanakuambia mmalize kila kitu kule kule shambani. Unatoa pesa na kila mtu anayeyuka.
Kesho yake ukirudi majirani huwakuti, ukienda serikali za mitaa unaonyeshwa watumishi halali ambao hiyo transaction hawaijui.
Ogopa matapeli.
Kufika ofisi ya ardhi hakutasaidia kama hamkufanya search. Search inalipiwa na control number na unapata report yenye muhuri wa registrar of titles kuonyesha kuwa eneo halina hatimiliki.Mmekosea,nyie endeleeni na mchakato wenu.jengeni kabisa uzuri ofisi ya ardhi mlifika,pia Serikali za mitaa na 10%mlitoa.
So,nyie endeleeni eneo lenu.
Huyo sijui mmiliki ambaye hata idara ya ardhi haijui ndo yeye aende Mahakamani.
Hapo mlipofikia hamtaambulia hata sent.
Mlijuaje Kama ni eneo la Mo.