Dereva Bolt amemjeruhi rafiki wa dada yangu na kutokomea

Dereva Bolt amemjeruhi rafiki wa dada yangu na kutokomea

Lovelovie

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2021
Posts
12,582
Reaction score
26,053
Majuzi mdada aliequest bajaji, bajaji kafika Mlimani City wakamwambia bajaji tuingize ndani bajaji akakataa wakamwambia tutalipia getini.

Bajaji akakataa akageuza bajaji, mdada anavyoelezea. Ikafika sehemu kuna msongamano wa magari mwenzie akaruka akamuacha peke ake huko ndani ya bajaji.

Mdada akawa anapiga kelele watu wamsaidie mana jam iliisha na bajaji ikawa inaendeela kwenda. Ghafla bajaji akamsukuma huku akiendelea kuendesha.

Bajaji akakimbia mdada akabaki hapo chini kaumia kachubuka mno. Mdada alipelekwa hospital kupatiwa huduma ya kwanza pia akaenda police. Akaenda pia office za bolt na hawajachukua hatua yoyote. Huyo kaka bolt alikamatwa lakini alitolewa kwa dhamana.

Utaratibu mwingine polisi wamesema utaendelea Jumatatu. Wadada tuwe makini sana kwa sababu sisi ndio tunatumia bolt sana madereva bolt asilimia kubwa wamekua wajinga sana sana.

Mods wakiruhusu nitaweka picha ya jeraha kubwa la huyu dada.

"Nisameeni kwa uandishi mbovu"
IMG-20240728-WA0011.jpg
 

Attachments

  • IMG-20240728-WA0015.jpg
    IMG-20240728-WA0015.jpg
    36.2 KB · Views: 15
  • IMG-20240728-WA0012.jpg
    IMG-20240728-WA0012.jpg
    76.5 KB · Views: 13
  • IMG-20240728-WA0014.jpg
    IMG-20240728-WA0014.jpg
    34.7 KB · Views: 13
  • IMG-20240728-WA0015.jpg
    IMG-20240728-WA0015.jpg
    36.2 KB · Views: 10
Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja. Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City. Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai, awaingize ndani wataongeza hela.

Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka, wao wakaruka. Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone. Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.

Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
 
Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja.Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City.Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai,awaingize ndani wataongeza hela.Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka,wao wakaruka.Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone.Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Mungu akutie inspectorbenja
 
Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja.Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City.Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai,awaingize ndani wataongeza hela.Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka,wao wakaruka.Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone.Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Hao wadada wastaarabike waonyeshe hiyo 10m waliitoa wapi na watoe risiti ya hiyo iphone siyo kuleta mambo ya kihuni
 
Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja.Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City.Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai,awaingize ndani wataongeza hela.Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka,wao wakaruka.Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone.Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Hivyo ni vidangaji,Yaani Dereva wa Bajaji huku anaendedha alafu amsukume abiria ,sijui Bajaji wanaifahamu kweli?
 
Kweli kabisa inavyoonesha hicho kidada chako kinaa mashauzi yake kimerequest afu tatu afu nyodo kibao na kutaka kumpelekesha dreva bajaj ya mil 10.3 kwa afu tatu pumbafuuu na hilo ni funxo kwa visonkolokwinyo wote
 
Majuzi mdada aliequest bajaji, bajaji kafika Mlimani city wakamwambia bajaji tuingize ndani bajaji akakataa wakamwambia tutalipia getini.
Bajaji akakataa akageuza bajaji, mdada anavyoelezea,
Ikafika sehem kuna msongamano wa magari mwenzie akashuka akamuacha peke ake huko ndani ya bajaji.

Mdada akawa anapiga kelele watu wamsaidie mana jam iliisha na bajaji ikawa inaendeela kwenda.
Gafla bajaji akamsukuma huku akiendelea kuendesha.

Bajaji akakimbia mdada akabaki hapo chini kaumia kachubuka mno
Mdda alipelekwa hospital kupatia huduma ya kwanza pia akaenda police.
Akaenda pia office za bolt na hawajachukua hatua yoyote.
Huyo kaka bolt alikamatwa lakini alitolewa kwa dhamana.
Utaratibu mwingine polisi wamesema utaendelea jumatatu.

Wadada tuwe makini sana kwa sababu sisi ndio tunatumia bolt sana madereva bolt asilimia kubwa wamekua wajinga sana sana.

Mods wakiruhusu nitaweka picha ya jeraha kubwa la huyu dada.

"Nisameeni kwa uandishi mbovu"
😂😂😂Tatizo mnaforce vitu sehem isio wezekana we unataka nikapite binafsi namuunga mkono dereva pia alikosea nibora angegoma kabisa apo apo kitendo cha kuondoka na kukusukumiza kimepoteza uaminifu kwa madereva wengine wa bolt ili tusiaminike
 
Back
Top Bottom