Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Chunguza hapa utaona comasava 😁🤣🤣😁😁😁Nani huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chunguza hapa utaona comasava 😁🤣🤣😁😁😁Nani huyo
Kwamba naingia kwenye kundi la senene au dagaa?Wewe ni miongoni mwao 🤣😁😁
Mkuu afadhali umesema kwa upande mwngne sababu sikuhizi wadada hao njaa na roho mbaya wanaona wakimkodi mtu wanamuamrisha vyvyte tu chukua hatua haki ipatkane, ningekua na uwezo hao wadada waliosingizia wameibiwa hela ningewacharaza fimbo nyingi sanaAcha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja. Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City. Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai, awaingize ndani wataongeza hela.
Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka, wao wakaruka. Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone. Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Kwa hekaheka nakupigia salute 😂Chunguza hapa utaona comasava 😁🤣🤣😁😁😁
Mumy,,,yaan nlfikiri ni mm peke yanguSijaelewa🥲
Kama nani kivipi wakati si jambo geni kuingia na bajaji ndani? Binafsi labda niwe na haraka ndio nitashushwa hapo nje, otherwise nitaingia na bajaji hadi ndani.mlimani kituo chabajaji kipo huyo anataka aingizwendani kama nani?
They not like us, they not like us, they not like usKwa hekaheka nakupigia salute 😂
Mashairi ya nyimbo gani hii?They not like us, they not like us, they not like us
They not like us, they not like us, they not like us
Kendrick Lamar Not Like UsMashairi ya nyimbo gani hii?
Punguza kuropoka, itakusaidia maishaniAcha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja. Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City. Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai, awaingize ndani wataongeza hela.
Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka, wao wakaruka. Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone. Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Ukisikia hadithi yao watakavyoielezea usiashangae wakasema dreva bajaji ana tamaa, haridhiki na fedha.Ila wabongo ustaarabu bado sana. Leo asubuhi naenda kwenye event fulani nilishapanga bajaj ya kunipeleka tangu jana.
Bajaj kaja amenisubiri kuna jamaa wengine wanaenda event hio hio wakawa wanamlazimisha awapeleke wao aachane na mimi. Ila Bajaj akakaza nikafika pale kuona jamaa wako stranded na tunaenda sehemu moja nikamwambia Bajaj awaruhusu wapande twende wote. Wakapanda. Kufika eneo la tukio wakshuka wakajipangia bei likaanza zogo na Bajaj wakamtupia zile hela wakaondoka. Nilishangaa sana, nilichofanya nikampa Bajaj nauli full tuliyokubaliana mimi na yeye ile ya jamaa ikawa bonus. Jamaa ni watu wazima ukiwaona unaweza kufikiri wanajitambua kumbe ni bure kabisa. Yote ni Sharan kwa kazi za watu.
Tatizo mjukuu wangu umesoma Memkwa! Ungesoma St. Kayumba ungeelewa mapema kabisa. Yaani Bolt ni zile nati za chuma.Sijaelewa🥲
We don't care by Meddy😂Kendrick Lamar Not Like Us
Inawezekanaje hii..!??🤔Mdada akawa anapiga kelele watu wamsaidie mana jam iliisha na bajaji ikawa inaendeela kwenda. Ghafla bajaji akamsukuma huku akiendelea kuendesha.